Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta fundi mzuri wa TV Nina TV yangu LG 46" inawaka kwa kumwekuamwekua baadae inakaa sawa. Ila inaonyesha kama imeongeza mwanga na picha unaona kwa mbali kama kuna ukungu hivi wanajamii.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mayai ya kuku wa kienyeji yanapatikana Kwa trey 10500 Kwa Moja moja ni sh 400 Weka order yako mapema 0758728258
0 Reactions
6 Replies
6K Views
hi wana jf kwa mwana jf yeyote ambaye anauza blog kwa bei ya sh 10,000 so zaid ya hapo iliyo fresh anibip kwa namba 0678895505 mimi nitamshukia hewani tufanye biashara fastaaa!!!!!!!!!!!!!!
1 Reactions
7 Replies
829 Views
Tunauza ubuyu safi na mtamu wenye tangawizi kwa bei nafuu kabisa kuanzia sh.500 kwa pakt. Tunafanya delivery kwa wateja wa jumla
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Full box tecno camon c7 for 230, 000 tshs.
0 Reactions
0 Replies
538 Views
Habari wana JF? Nashawishika kumiliki Blog lakini sina uelewa wowote kuhusu mambo ya hizo blogs. Naomba kujuzwa yafuatayo kabla sijachukua uamuzi; 1. Jinsi ya kufungua hiyo blog 2. Jinsi ya...
0 Reactions
0 Replies
715 Views
Nauza asali kutoka tabora ya nyuki wakubwa kwa bei rahisi napatikana dar es salaam...kuanzia litre moja, tano hadi ishirini ... unaweza nitext pm kwa ajili ya bei ...pia napatikana kwa mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
650 Views
Nauza kuku wa kienyeji mtetea waliyotayar kuanza kutaga kwa sh 12,000 tu Wapo 11 Tuwasiliane kupitia 0758728258 Napatikana dar es salaam,nyuma ya ubungo plaza
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Habari wadau wa Jf. Kiwanja kipo mahali pazuri sana kina tofari 1500 chenye ukubwa 25/25, bei mil.8.5
0 Reactions
0 Replies
779 Views
Lcd flat screen aina ya hisense inch 38 inauzwa shilingi 680000. Mawasiliano piga 0679663230
0 Reactions
3 Replies
1K Views
NATAFUTA CHUMBA SELF CONTAINED NA SEBURE, LUKU YA KUJITEGEMEA NA MAJI YAWEPO 24/7. ENEO - KIGAMBONI. CALL:- 0653242627 BEI: 150,000 - 180,000/= KWA MWEZI.
0 Reactions
0 Replies
783 Views
Nipo mbeya natafuta cm tajwa Iwe na 64 gb, free i cloud Aliyenayo hapa mbeya ani PM tuanze bizness, tukifikia mwafaka tunamaliza ki cash cash.
0 Reactions
2 Replies
555 Views
Site ya Kujenga Mnara wa simu(available for LEASE) Iko na Grid Kubwa ya Umeme(High T. Power) Pia kuna Transformer papo hapo kwenye Site. Utakuwa umeokoa gharama za kujenga line Kubwa kwa ajili...
0 Reactions
0 Replies
810 Views
Gx110 Automatic Petrol Gari nzima bila tatizo lolote Inadaiwa laki 7 Bei haishuki milioni 4. Mteja serious call 0689315582
0 Reactions
5 Replies
2K Views
We are dealing with producing and supplying of Banana crisps, Tambi, karanga za mayai, and Ubuyu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sofa set inauzwa jamani laki 5 na 50,, malipo on collection. Moja ya kukaa watu watatu, Moja ya kukaa wawili na single zipo 2 kimara.
0 Reactions
16 Replies
4K Views
GARI TAJWA INAUZWA KWA TSHS. 5,500,000/= PUNGUFU UNAONGEA, GARI IPO KATIKA HALI NZURI NA INA KILOMETA 180,000. NIMEAMBATANISHA NA PICHA ZA GARI. KWA MAWASILIANO: 0716 00 23 23 FRANK JB
0 Reactions
6 Replies
1K Views
-Hisense -165Lts -halitoi kelele -lina funguo -lina miguu yake -lina adjastable thermostat -fridge guard -mkono wake haujafungwa Limetumika miezi 8 tu. Halina tatizo lolote, almost new. Bei=270...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Nauza cm nokia lumia 525 kwa bei poa ya sh 120000. Cm ina internal memory na extenal memory. Internal ina 7gb. Extenal ina 2gb Pia inakamera kali sana. Njoo inbox au piga 0657623266
0 Reactions
3 Replies
829 Views
Nahitaj nyumba ya kupanga Sinza Shart kuu kodi iwe ya mwezi kwa mwez au 3month sitak mwaka au 6 month Iwe bora
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom