Natafuta soko la cabbage nina tani 15

Natafuta soko la cabbage nina tani 15

toccara

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2014
Posts
540
Reaction score
203
Habari, nimelima cabbage zitakuwa tayari kuanzia week ijayo, naomba kama Kuna mtu anafahamu soko Lake, tuwasiliane. Asante sana
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Habari, nimelima cabbage zitakuwa tayari kuanzia week ijayo, naomba kama Kuna mtu anafahamu soko Lake, tuwasiliane. Asante sana
umelima kabeji... sawa!
uko wapi? hujasema...
namba ya simu, hujaweka.. dah
elimu ya kujieleza bado tatizo sana kwa watanzania wenye elimu na wasio na elimu
 
umelima kabeji... sawa!
uko wapi? hujasema...
namba ya simu, hujaweka.. dah
elimu ya kujieleza bado tatizo sana kwa watanzania wenye elimu na wasio na elimu
Bahati mbaya siyo mtanzania ingawa naishi Tanzania Muda mrefu, cabbage nalimia Morogoro, namba yangu ni 0627748402. Asante
 
Mboga ya msibani hiyo, wadau changamkieni mali hiyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom