Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wana jf samahani nlikua nataka kuanza biashara ya nguo za kike za mitumba naomba msaada au hata ushauri ni sehemu gani kwa hapa dar nnapoweza pata mitumba mizur ya kike grade 1
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Martin ds king ana toa ofa ya nguo za kacha kwale wateja wakwanza ambao wata wai watatengenezewa nguo grade A nikimahaanisha nguo yenye kwarti ya yuu kabisa na wale watao fata watono wata pata...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi ni mgeni hapa Iringa mjini ,naomba anaejua au Dalali ,nahuitaki chumba na sebule (self ) .isiwe mbali Sana na mjini .
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kwa wale wanao penda kwenda na wakati katika maisha yao una weza kuungana na martin ds king kwa fashion kali za kacha pia na Disgn nguo za sendoff zakike na zakiume wakubwa kwa wadogo pia una weza...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Warrant ya mwaka 1 ph,antom 6 hiyoooo 0653551607 Nipigie au nipiem utumiwe popote Tanzania Malipo ni baada ya kupokea mzigo , na kuukagua.
2 Reactions
17 Replies
4K Views
Ipo kibamba Call; 0622 103 710
0 Reactions
0 Replies
470 Views
Kutoka Haya ndio maujanja ya kutumia camera mbili kwenye Tecno Phantom 6 | Bongo5.com Habari ndio hii…kama ulikuwa hujasikia, Phantom 6 inakuja na kamera mbili za ukweli na wengi bado...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari zenu wanajf Natafuta kiwanja maeneo ya boko, Bunju, madale na mbweni.Nataka kilichopimwa tayari na kama kina hati ititakuwa vizuri zaidi. Mwenye nacho andika na bei kabisa na ukubwa gani.
0 Reactions
1 Replies
645 Views
Tunatengeneza websites (tovuti) BURE Pia domain registration BURE kwa kila mteja wa web hosting kuptia kampuni yetu. Bei ya ku Host website kwa mwezi ni Tsh 9,000/= Present your business online...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau, kwa anayefahamu tafadhali nijulishe wapi naweza nunua mashine za kuosha vyombo vya kulia chakula (dish washers) nimepita maeneo kadhaa sijazipa. Kwa anayejua anieleze ukubwa wa mashine na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hp Hard disc GB 500 Ram GB 2 Inatatizo la display kubadilisha ef 80
1 Reactions
9 Replies
2K Views
habari wana JF ...natafuta hausing ya samsung j7 ...km kuna mtu anahucka na accessory za simu au unamfaham yyte unaweza kuniambia anapatikana maeneo gn ili nipate iyo hausing ...asante
0 Reactions
0 Replies
726 Views
nauza ofisi stationary ipo temeke vetenary we ni kuanza tuu kufanya kazi. mawasiliano 0713832763
0 Reactions
9 Replies
2K Views
SPECIFICATIONS - Ram 8 gb - GB 128 SSD - Processor Core i5 - Mobile broadband module (Internal moderm) 3g and 4g - Wifi hotspot - Wireless Wifi - Display port - Widescreen 14-inch - Finger print...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza mayai ya kienyeji Trey 13,000 Kwa mawasiliano zaidi 0758728258 Pia mazungumzo yapo kama utahitaji mzigo mkubwa
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Kwa yeyote aliyeko Singida na ana uwezo wa kunipatia mayai ya kienyeji zaidi ya trei 30 kila baada ya wiki 2 anicheki.
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Eneo la ekari 1.5 linauzwa Mwasonga Kigambon, bei ni 10 Milini. Kama utahitaji ninapatikana kwa namba 0621 047708
0 Reactions
1 Replies
735 Views
Habari wana Jf. Nauza kiwanja kipo Chanika jirani na mtaa wa Ngwale. Ukubwa ni mita 15*15,,bei ni 2.7mil,,maelewano yapo. Kiwanja hakina hati,huduma mhimu kama barabara na umeme vipo. Umbali...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom