Habari wana jf samahani nlikua nataka kuanza biashara ya nguo za kike za mitumba naomba msaada au hata ushauri ni sehemu gani kwa hapa dar nnapoweza pata mitumba mizur ya kike grade 1
Martin ds king ana toa ofa ya nguo za kacha kwale wateja wakwanza ambao wata wai watatengenezewa nguo grade A nikimahaanisha nguo yenye kwarti ya yuu kabisa na wale watao fata watono wata pata...
Kwa wale wanao penda kwenda na wakati katika maisha yao una weza kuungana na martin ds king kwa fashion kali za kacha pia na Disgn nguo za sendoff zakike na zakiume wakubwa kwa wadogo pia una weza...
Kutoka Haya ndio maujanja ya kutumia camera mbili kwenye Tecno Phantom 6 | Bongo5.com
Habari ndio hii…kama ulikuwa hujasikia, Phantom 6 inakuja na kamera mbili za ukweli na wengi bado...
Habari zenu wanajf
Natafuta kiwanja maeneo ya boko,
Bunju, madale na mbweni.Nataka kilichopimwa tayari na kama kina hati ititakuwa vizuri zaidi.
Mwenye nacho andika na bei kabisa na ukubwa gani.
Tunatengeneza websites (tovuti) BURE Pia domain registration BURE kwa kila mteja wa web hosting kuptia kampuni yetu.
Bei ya ku Host website kwa mwezi ni Tsh 9,000/=
Present your business online...
Wadau, kwa anayefahamu tafadhali nijulishe wapi naweza nunua mashine za kuosha vyombo vya kulia chakula (dish washers) nimepita maeneo kadhaa sijazipa. Kwa anayejua anieleze ukubwa wa mashine na...
habari wana JF ...natafuta hausing ya samsung j7 ...km kuna mtu anahucka na accessory za simu au unamfaham yyte unaweza kuniambia anapatikana maeneo gn ili nipate iyo hausing ...asante
Habari wana Jf.
Nauza kiwanja kipo Chanika jirani na mtaa wa Ngwale.
Ukubwa ni mita 15*15,,bei ni 2.7mil,,maelewano yapo.
Kiwanja hakina hati,huduma mhimu kama barabara na umeme vipo.
Umbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.