Samaki (Sato) toka Mwanza toa oda yako uletewe

Samaki (Sato) toka Mwanza toa oda yako uletewe

jnia

Senior Member
Joined
Oct 10, 2012
Posts
112
Reaction score
37
Habari wapendwa, wale walaji wa samaki aina ya sato karibuni mtoe oda ili tukutumie samaki moja kwa moja kutoka mwanza.

samaki watapakiwa kwenye ndoo ndogo au ndoo kubwa na box (samaki mmoja) 8,000/-, kutokana na wewe utakavyo hitaji.

contact:
0755270727
 

Attachments

  • samaki.jpg
    samaki.jpg
    59 KB · Views: 507
ndoo ndogo 80,000/-
ndoo kubwa 140,000/=
box (samaki mmoja) 8,000/-
karibuni
 
wapo pia wa kukaanga (bei itatokana na idadi)
sio mikoa yote tunatuma,
zanzibar, dar, mwanza, musoma, kigoma, mtwara, arusha, kilimanjaro.
 
Kumbe hata mwanza sato wanatumwa.
Sato wa bwawa hao
 
Habari wapendwa, wale walaji wa samaki aina ya sato karibuni mtoe oda ili tukutumie samaki moja kwa moja kutoka mwanza.

samaki watapakiwa kwenye ndoo ndogo au ndoo kubwa na box (samaki mmoja) 8,000/-, kutokana na wewe utakavyo hitaji.

contact:
0755270727
jamani mi nataka ndoo kubwa please.
hela nakupa mzigo ukifika.
 
Hivi bei haziwezi kuwa kwa kilo? Maana bora tujue kwa kilo haya ya ndoo tuache
 
Mkuu mbeya je? Na naweza kupokea baada ya muda gani mfano wakaondoka kesho? Ni wabichi tu au hata wakiokaangwa pia
mbeya bado hatujafika, ila ukitaka wa kukaanga itakuwa rahisi utapata mzigo siku ya pili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom