UPDATED...
Habari zenu wakuu,
To the point,
Well niko na muwakilishi wa kiwanda cha ma carpet kutoka Egypt anatafuta wanunuaji wa jumla wa mzigo wa high quality textile and plastic carperts...
Aliyepo mbeya wandugu nisaidieni ambaye ana mayai kwa ajili ya kutotolesha
I we
Chotara
Kenya
Kuloiler
Au Kali
ni hitaji la haraka na hitaji mayai 150
Niko mbeya ileje
0753445531
Viko Mbezi Mpiji Magoe karibu na hospital ya mpiji Magoe vyote vinafikika kwa barabara Viko vya ukubwa mbalimbali kulingana na uhitaji wa mteja.
Bei kuanzia tsh 1.5m tu
Kwa taarifa zaidi piga...
http://afyazaidi.org/wp-content/uploads/2016/12/MPANGO-WA-ELIMU-NA-USHAURI-WA-AFYA-KUPITIA-SIMU-ZA-MKONONI-1-1.pdf
Jiunge na AFYA ZAIDI (AZ) CONSULTANTS sasa iliupate elimu na ushauri wa afya...
kiwanja cha ekari tano .kila eka moja milioni tatu.kipo mlandizi karibia na kiwanda kikubwa cha kutengeza vyuma cha kuluwa.sio mbali kutoka barabara kuu..karibuni
Nahitaji haraka sana printer za picha za rangi, budget yangu ni 300,000/=, nipo Mwananyamala Kinondoni Dar,
Mawasiliano 0658825141 / 0767279713 iwe leo coz kesho natarajia kugeuza.
Habari zenu?
Nauza asali ya nyuki wadogo kutoka Moshi Kilimanjaro. Haijachanganywa na kitu chochote. Inatibu maradhi mengi kama mmengenyo wa chakula (digestion) kuondoa mafuta mwilini, kuondoa...
Habari,wakuu kama kuna mtu anataka gari nzuri,kwa bei nafuu!ani pm gari zipo kuanzia milioni moja na kuendelea tunakuagizia kutoka Japan baada ya mda mfupi tu utapata gari yako!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.