Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

IPhone 5c GB 16 Bei 350,000 Serious buyers 0654766056 No exchange deals Simu with usb charger with delivery...
0 Reactions
6 Replies
845 Views
Specifications Core i5 Ram 4gb 250gb HDD Karibuni Sana Price:550,000Tsh tu Contact pm au 0673206639 Kwa wale was mikoani Nina weza nikakutumia Zipo piece 3
0 Reactions
5 Replies
918 Views
Jimwageni hapa wenye navyo....Picha na bei zeni ilimradi zisiwe za ki JK JK
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salama wakuu Vitu vifuatavyo vinauzwa 1.Shelves a. single sided 8 @210,000 = 1,680,000 b. double sided 4 @320,000 = 1,280,000 2. Fridge double door 1,200,000 3. Ac samsung original 1,000,000...
0 Reactions
12 Replies
9K Views
Nina mahitaji ya haraka ya nyumba ya kupanga. Iwe na sifa zifuatazo minimum: 1.) Self contained preferably bedrooms 2 to 3(tatu) , 2.) Iwe na AC, 3.) Iwe Fenced/gated with car parking ndani, 4.)...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
TSh 280,000 - Samsung galaxy tab 3 lite
0 Reactions
0 Replies
475 Views
Kwa anaeweza vipata au anavyo hata kunielekeza tafadhari tuwasiliane nipo mwanza
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa aneweza pata vifaa vya saloon za kiume tafadhari tuwasiliane lakini awe mwanza
0 Reactions
0 Replies
736 Views
habari wapendwa tunauza kuku wa nyama aina ya chotara ,,ni wakubwa bei ya krismas ni 10,000 tupo mbezi makonde karibuni,,,mawasiliano,,0769 269630
0 Reactions
0 Replies
697 Views
Habari wana jamvi , natumai ni wazima. Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya kuanzia magomeni hadi kimara mwisho. Nyumba iwe ya kuanzia vyumba viwili vya kulala sebule master na sitting room...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza Samsung Galaxy S7 Very clean condition Serious buyers 0654766056 no exchange deals GB 32 Bei 830,000 Phone with charger
0 Reactions
1 Replies
715 Views
Nauza Samsung S6 Edge GB 32 Bei 750,000 Serious buyers 0654766056 Clean condition No exchange deals
0 Reactions
1 Replies
690 Views
Price 250,000 Imetumika miaka miwili Haina tatizo lolote Contact 0719 949 141
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu wadau nahitaji laptop aina ya Dell au hp Kama uko nayo tafadhali weka specifications hapa ili tuwacliane zaidi offer yangu Ni 300k nipo Dar MREJESHO Nashukru kwa ushirikiano wenu wadau...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hii hapa chini, hii inatakiwa 170 milioni, ipo Tandika ina bedrooms 4,ina sitting room,ina dining, jiko na kisima. Inauzwa na vitu vyake vya ndani bado vipya na nyumba ni mpya
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Nauza kiwanja meta 1428 kipo kigamboni mikwambe karibu kabisa na mradi Wa Nyumba za nhc kimepimwa kinahati being 35 millioni tu 0755 469696 mindio mmiliki halali
0 Reactions
0 Replies
716 Views
Waungwana, laptop tajwa hapo juu tafadhali Naomba tuwasiliane, hata kama ni movie. Mwenyewe nayo anakaribishwa. Bei maelewano.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Je wewe ni mjenzi au unafyatua matofali au muuza cement kwa bei ya rejareja!? Tunauza cement ya camel kwa bei ya chini kutoka moja kwa moja kiwandani. Gharam za usafiri na ushushaji utalipa...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Kama heading inavyosomeka wadau,nahitaji hiyo kitu full yaani kuanzia decorder hadi dish,ofa 70,000 mwisho Jumamosi. Maeneo:Uwe IRINGA/IFUNDA/MAFINGA/MAKAMBAKO.
0 Reactions
1 Replies
699 Views
(1)KIWANJA KINAUZWA KIGAMBONI;KIPO KIBUGUMO;KIMEPAKANA NA SECONDARI YA KIDETE.Kiwanja hicho kina ukubwa wa ekari moja.Sio mbali kutoka barabara kubwa ya lami.Bei mil 40 tu.Mazungumzo yapo.Contacts...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom