Specifications
Core i5
Ram 4gb
250gb HDD
Karibuni Sana
Price:550,000Tsh tu
Contact pm au 0673206639
Kwa wale was mikoani Nina weza nikakutumia
Zipo piece 3
Salama wakuu
Vitu vifuatavyo vinauzwa
1.Shelves
a. single sided 8 @210,000 = 1,680,000
b. double sided 4 @320,000 = 1,280,000
2. Fridge double door 1,200,000
3. Ac samsung original 1,000,000...
Nina mahitaji ya haraka ya nyumba ya kupanga. Iwe na sifa zifuatazo minimum: 1.) Self contained preferably bedrooms 2 to 3(tatu) , 2.) Iwe na AC, 3.) Iwe Fenced/gated with car parking ndani, 4.)...
Habari wana jamvi , natumai ni wazima.
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya kuanzia magomeni hadi kimara mwisho.
Nyumba iwe ya kuanzia vyumba viwili vya kulala sebule master na sitting room...
Ndugu wadau nahitaji laptop aina ya Dell au hp Kama uko nayo tafadhali weka specifications hapa ili tuwacliane zaidi offer yangu Ni 300k nipo Dar
MREJESHO
Nashukru kwa ushirikiano wenu wadau...
Hii hapa chini, hii inatakiwa 170 milioni,
ipo Tandika ina bedrooms 4,ina sitting room,ina dining, jiko na kisima.
Inauzwa na vitu vyake vya ndani bado vipya na nyumba ni mpya
Nauza kiwanja meta 1428 kipo kigamboni mikwambe karibu kabisa na mradi Wa Nyumba za nhc kimepimwa kinahati being 35 millioni tu
0755 469696 mindio mmiliki halali
Je wewe ni mjenzi au unafyatua matofali au muuza cement kwa bei ya rejareja!?
Tunauza cement ya camel kwa bei ya chini kutoka moja kwa moja kiwandani. Gharam za usafiri na ushushaji utalipa...
Kama heading inavyosomeka wadau,nahitaji hiyo kitu full yaani kuanzia decorder hadi dish,ofa 70,000 mwisho Jumamosi.
Maeneo:Uwe IRINGA/IFUNDA/MAFINGA/MAKAMBAKO.
(1)KIWANJA KINAUZWA KIGAMBONI;KIPO KIBUGUMO;KIMEPAKANA NA SECONDARI YA KIDETE.Kiwanja hicho kina ukubwa wa ekari moja.Sio mbali kutoka barabara kubwa ya lami.Bei mil 40 tu.Mazungumzo yapo.Contacts...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.