1. KIWANJA CHA KUNUNUA UNUNIO
2. KIWANJA CHA KUNUNUA KIBADA KIGAMBONI.
3. NYUMBA YA KUPANGA MIKOCHENI IWE NA VYUMBA VINNE BAJETI 1MIL
4. APARTMENT YA KUPANGA UPANGA BAJETI...
Habari wadau,sisi ni Locksmith tecnician ambao tume base katika kufanya programming ya funguo za magari madogo na makubwa (trucks) ambazo zinatumia sensor, pia tunatoa pincode kwenye control za...
Ndugu habarini na poleni na kazi.
Ninauza shamba langu katika wilaya ya mufindi ambalo ekari 10 zimeshapandwa miti.Eneo hilo ni muhimu na maarufu kwa upandaji wa miti.Kwaanayehitaji awasiliane...
Habari zenu ndugu Nimeagizwa kwa wakala kutuma pesa nikasikia vby na kununua units zaumeme badala ya malipo mengine plz kwa atakae weza itaji nimtumie no Za units aweke kwake anitumie pesa...
Habarini wadau wa ufugaji,nauza kuku matetea wazuri kwa ajili ya mbeg,umri kati ya miezi 5 hadi mwaka,bei 15,000 maongezi yapo,wanapatikana mbezi louis,dar.
Ni 5 kwa 6.
Godoro lake ni TANFORM (alitumia mzazi mpaka mjukuu)
Bei yake ni Tsh 240,000/= (godoro na kitanda chake).
Kwa mawasiliano zaidi nicheki kupitia no.0625567408.
Kitanda kipo kimara...
Pata Playstation 4 kwa bei chee.
Mint condition:
Includes more than 5 installed ps 4 latest games
-METAL GEAR SOLID V
-BATTLEFIELD
-DRIVE CLUB
-FIFA 16
-SHIELD
-THE DIVISION
inacheza
Blu-ray...
Wakuu nina shida ya betri ya aspire 5732z, kwa mwenye kujua duka napoweza pata kati ya Mwanza, Dodoma, Tabora ama Kigoma naomba anielekeze maana ndio mikoa karibia muda mwingi nakuwepo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.