Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari zenu wakuu mlio ktk uhalisia wa maisha ya Bongo... Ninatarajia kuiuza simu tajwa hapo juu ila naomba mnijuze niiuze kwa bei gani kutokana na hali halisi halisia ya uchumi wa Bongo. Chaja...
0 Reactions
22 Replies
6K Views
]Pata iPhone mpya na used kwa bei ya kusafishia duka kabisa kama ilivyooneshwa kwenye picha serious buyers Njoo inbox
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari za asubuhi wadau? Natafuta wateja niwauzie gunia 175 za mpunga. Mpunga upo Ndala (Tabora)
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Bei ni Millioni 6. Ipo Magomeni Kagera Dar es Salaam. Wasiliana kwa namba 0714171776
0 Reactions
31 Replies
7K Views
Sold
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Sasa nunua simu za tecno kwa punguzo kubwa la bei msimu huu wa sikukuu na ujipatie zawad papo hapo. Tembeleo www.chimbo.co.tz
0 Reactions
0 Replies
2K Views
*KUKU AINA YA SASO* Kwa AJILI SIKUKUU NAKUZAWADIA KUKU AINA YA SASO KWA AJILI *NYAMA* KWA UFUGAJI.WAPO VIZURI KATIKA KUTAGA MAYAI, NA MBEGU WANA MIEZI MITANO *TUPO TEMEKE MAGURUWE* ONLY KWA...
0 Reactions
0 Replies
792 Views
heshima kwenu wakuu .wanapatikana kimara korogwe hapo kwenye kituo cha mwendo kasi na kiluvya gogoni wanafaa kufugwa na kuliwa nyama kwa ajili ya msimu huu wa sikukuu. mawasiliano 0655404226...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
kwa wakazi wa Dar Es Salaam naomba mnitajie ni duka gani linauza laptop imara au kompyuta za bei ya chini isizidi 300,000/=
0 Reactions
8 Replies
2K Views
jumla ya vyumba ni vinne ,master Mbili +Sebule+Dining Room+jiko+stoo +tank maji +fensi na Parking Ipo mikadi kigamboni Bei: Tsh. 210 milion (maongezi yapo) Ina hati na nyaraka zote muhimu...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
*KUKU AINA YA SASO* Kwa AJILI SIKUKUU NAKUZAWADIA KUKU AINA YA SASO KWA AJILI *NYAMA* KWA UFUGAJI.WAPO VIZURI KATIKA KUTAGA MAYAI, NA MBEGU WANA MIEZI MITANO *TUPO TEMEKE MAGURUWE* ONLY KWA...
2 Reactions
0 Replies
5K Views
Natafuta kazi yoyote ya kufanya kwa part time..naongea kiingereza vizuri na ujuzi wa computer..nasoma chuo cha usafirishaji kozi ya mechanical engneering..pia naweza kazi ya kufundisha...
1 Reactions
2 Replies
717 Views
Host website yako Sasa kwa 87,000 kwa mwaka mzima. Kwa maelezo zaidi tuandikie barua Pepe : info@pandoratz.com PFA HII NI KWA MSIMU WA SIKUKU ZA X-MASS NA MWAKA MPYA
0 Reactions
0 Replies
545 Views
Habarini wadau wote wa riwaya hususan zile za Joram Kiango. Kwa wale wanaopenda riwaya, Kuna riwaya aina 11 za Ben Mtobwa ambazo ni 1. Tutarudi na roho zetu 2. Roho ya paka 3. Malaika wa shetani...
3 Reactions
20 Replies
7K Views
Natafuta laptop used kwa 200,000 mwenye nayo Please tuwasiliane nipo Geita. 0754 875772
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu habari za muda huu,,,natafuta laptop aina ya hp,accer,,toshiba au lenovo bajeti yangu ni laki nne,,,kama imetumika isizidi mwaka mmoja
0 Reactions
6 Replies
801 Views
Hii ni sukum power inveter. 1400va/ 24v. Bei 400,000 Solar panel 100w ×3= 300w ka laki 400,000 Shimge water pump 0.7hp. 26m head. 150000. Samsung smart tv.32. 800,000. Hivi vitu...
1 Reactions
27 Replies
5K Views
Many professionals need Dstv installer Jobs. Asides acquiring the raw knowledge and experience it's good to attend Dstv,Azam course, where you can get accredited installation training to become a...
3 Reactions
98 Replies
13K Views
habari wakuu, natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya segerea iwe na vyumba angalau viwili vya kulala na geti.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza pikipiki aina ya skymark, Ina documents zote, Nilikuwa naitumia kwa matumizi yangu binafsi. Sababu ya kuuza: nina hama kikazi Bei, 700,000 Napatikana Kimara
3 Reactions
11 Replies
4K Views
Back
Top Bottom