Viko Mbezi Mpiji Magoe karibu na hospital ya mpiji Magoe vyote vinafikika kwa barabara Viko vya ukubwa mbalimbali kulingana na uhitaji wa mteja.
Kwa taarifa zaidi piga 0715338989
Pata samaki sato ,kwanini ununue samaki wasio na radha .pata samaki bora sio bora samaki husifate bei ndogo kula samaki roho inapenda jenga afya bora nifate in box.
HABARI ZA MDA HUU WANA JF, NILIKUWA NAHITAJI KUKU WADOGO WENYE WIK3 MPAKA MWEZI WA KIENYEJI JOGOO1 NA MAJIKE 4. NA NTAPATA KWA BEI YA SHILLINGS NGAP MSAADA NDUGU ZANGU
Site ya Kujenga Mnara wa simu(available for LEASE) Iko na Grid Kubwa ya Umeme(High T. Power)
Pia kuna Transformer papo hapo kwenye Site.
Utakuwa umeokoa gharama za kujenga line Kubwa kwa ajili...
HABARI ZA MAENEO ULIPO NDUGU MPENDWA
TUMEANZISHA WEBSITE AMBAPO WEWE UTAWEZA KUJIFUNZA MENGI KATIKA TEKNOLOJIA NA COMPUETR.UNAWEZA KUTENBELEA TOVUTI YETU HII KWA ADRESS IFUATAYO...
TUNABADILI MAWAZO YAKO KUWA SOFTWARE.
Nyumbani creative ni kampuni yenye team iliyojitosheleza katika kupokea mawazo yako ya mfumo taarifa (data system) wa kazi zako na kuziweka katika mfumo wa...
Kutana na wauzaji waliobobea katika soko la vitabu Tanzania, tunauza softcopy za vitabu aina zote kama marketing, insurance, accounts, logistics and procurements, medicine, phamarcy...
VIWANJA VINAUZWA.VIWANJA VINAUZWA.
VIWANJA VINAUZWA VIPO VIWILI KWA PAMOJA,KILA KIMOJA KINA UKUBWA WA MITA 16 KWA MITA 16.
KIPO MAENEO YA CHANIKA SHULE MPYA YA KABAKARI.
KILA KIMOJA KINAUZWA...
Wakuu kuna plot zipo sokoni,maeneo ya kwa mromboo Arusha. Mwenye navyo ana dharura. Urefu ni 11 kwa 10 tshs 2m,vipo viwili. Ama unaweza chukua vyote viwili (11 kwa 20) kwa 4m.
SIMU YANGU TECNO W4 INA MWEZI MMOJA MPAKA SASA LAKINI NIMEPATWA NA SHIDA YA KIPESA NIMEONA NIUZE NILICHONACHO MAANA NDO MSAADA WANGU WA KUJIKWAMUA KATIKA TATIZO LANGU SIMU YENYEWE INA LAKI MOJA NA...
Nauza vifaa mbalimbali vya computers na kuwapa ushauri kwa mtumiaji pale atakapohitaji na kufungiwa.
Napatikana kwa no ; hizi 0713 560590 na 0766 507080.
Wahi kwa bei nafuu,
Wakuu,
Ninahitaji nguruwe dume mkubwa mwenye uwezo wa kupanda jike lenye kilo 120 au zaidi. Akiwa large white au landrace itakuwa vizuri zaidi. Mwenye naye anipe bei tufanye biashara, nipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.