Wakuu Salama,
Nipo Dar es Salaam nauza samaki aina ya kambale (catfish) kwa mauzo ya jumla kuanzia nusu tani (500kg) kwa order. Kila kilo ni sh. 6,000. Available are fresh Not frozen / dried...
Residential plot size 800 sqm in an upmarket and extensively developed area of Block `F`, Tegeta. Corner plot, fully serviced with water and electric power utilities, duly accessible, and has a...
Tunauza na kusambaza mchele maeneo tofauti ta jiji la dar es salaam,
Bei=upo wa shilingi1600 na 1900/=
Tunauza kuanzia kilo 10 na kuendelea,
Kumbuka mchele unakufikia hadi mahali ulipo
Karibuni...
Hivi wale wakaguzi wa elimu waliokua wanakuja Darasani wakati ule tulipokua Shule za msingi na secondary hivi Bado wanaenda wakati huu?
Maana tulikua tunaulizwa kama walimu wameingia Darasani na...
Waheshimiwa nawasalimu kwa jina la Yesu Kristo wa Nazarethi..
Kama Heading inavyosoma nanunua vifaa vya kupikia chips kwa mtu ambaye alikuwa anafanya biashara hiyo alafu akaamua kuacha njoo pm...
Watu wengi (wanawake na wanaume) wamekuwa wakitumia vipodozi visivyo salama na vile visivyoendana na ngozi zao na hata mahitaji yao. Wengi niliofanikiwa kuongea nao na kuwahudumia wameniambia...
Ninauza kwa ujumla suit Jackets, hata unaweza kununua 200 suit jackets. Pia tuna nguo za watoto, wedding dresses, viatu, vitabu vya watoto, academic books, and novels.
Bei nzuri. Unaweza ukanipa...
Habari wanajamii. Naomba msaada wenu wakuu kuhusu aina ya gari la kununua kwa mtu ambaye bajeti ya mafuta kwa mwezi ni Sh 200,000. naishi Kivule ambapo barabara ni ya mashimo na nafanya Posta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.