madaili
Member
- Mar 6, 2014
- 32
- 27
Note:Mzigo huu nimeshauza. Shukrani
Nauza MacBook, 13 inch screen, 2.26GHz Intel Core 2 Duo, Operating system ni macOS Sierra
Memory 2GB RAM(Inaweza kuongezwa mpaka 4 ama 8GB kwa kiasi kidogo cha pesa), 250 GB HDD
Pia kama zawadi utapata na Benq laptop.
Mzigo upo China, sio fake, zote ni laptop zangu mwenyewe ninazotumia, hazina matatizo.
Nahitaji kuhamia mji mwingine, napunguza mzigo ili niondoke mwepesi. Kwa hiyo mwisho wa kuulizia ni tarehe 11 saa 5 asubuhi.
Kama unahitaji tuwasiliane: 008613********3
Ni bora utume message au unipigie simu, WhatsApp ipo slow, ama kama una WeChat niadd kwa WeChat.
Bei ni Dola: us$ 400 pamoja na usafiri mpaka bongo, pia kama mfuko wako unaweza kutoa kiasi gani, usisite kuniuliza nicheki kama itawezekana.
Nawatakia jumapili njema.
Nauza MacBook, 13 inch screen, 2.26GHz Intel Core 2 Duo, Operating system ni macOS Sierra
Memory 2GB RAM(Inaweza kuongezwa mpaka 4 ama 8GB kwa kiasi kidogo cha pesa), 250 GB HDD
Pia kama zawadi utapata na Benq laptop.
Mzigo upo China, sio fake, zote ni laptop zangu mwenyewe ninazotumia, hazina matatizo.
Nahitaji kuhamia mji mwingine, napunguza mzigo ili niondoke mwepesi. Kwa hiyo mwisho wa kuulizia ni tarehe 11 saa 5 asubuhi.
Kama unahitaji tuwasiliane: 008613********3
Ni bora utume message au unipigie simu, WhatsApp ipo slow, ama kama una WeChat niadd kwa WeChat.
Bei ni Dola: us$ 400 pamoja na usafiri mpaka bongo, pia kama mfuko wako unaweza kutoa kiasi gani, usisite kuniuliza nicheki kama itawezekana.
Nawatakia jumapili njema.