Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

rejea kichwa cha habari..kijana mzuri anaejua kuandaa chips na mazagazaga kama wapemba ..antafute kwa 0714140579
0 Reactions
2 Replies
951 Views
Tenda ya Fumigation: tunatafuta kampuni ya fumigation kama Subcontractor. Tuma email: searsindar@gmail.com na introduction. Sisi kampuni ya usafi.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kama kuna blogger yeyote anayehusiana na mambo ya mziki atakayesoma thread hii Au kama kuna yeyote anajuana na blogger Naomba tuwasiliane , Mimi ni msanii ndio kwanza nimeanza kazi nina nyimbo...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari za midaa hii wadau! Nauza mchele wa mbeya napatikana Kimara Dar es salaam. Bei. Grade 1= tshs 2000/kg Grade 2=tshs 1900/kg Ukichuku kuanzia tani moja free delivery kwa dar es salaam tu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
kwa ajili ya kujaza upepo kwenye magari na pikpik iwe inatumia mafuta SMS/WATSAP/CALL no.0715140001 tufanye biashara
0 Reactions
1 Replies
947 Views
If your looking for a clearing and forwarding company with below criteria. 1.Clean records with TRA. 2.Have a Valid TRA license and Trading license. 3.Valid regitration with TFAA 4.Valid...
1 Reactions
0 Replies
510 Views
hello members, nahitaji watu wakufanya nao biashara na mtaji wake hauzidi 30,000 atachukua bidhaa kwangu kwa jumla na kuuza ni biashara ndogo ila inafaida nzuri namba ya biashara ina whats up 0719...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Nahitaji GODOWN liwe located popote pembezoni mwa Mandela Road mpaka Mwenge Dar es salaam kwa ajili ya kununua. ukubwa SQM 1,500. mawasiliano 0755 092 734 na 0716515995
0 Reactions
1 Replies
529 Views
Karibuni wapendwa wateja katika kampuni yetu ya kusambaza chakula ukitakacho mpaka ofisini kwako. Bei zetu ni nafuu sana na zinaendana na hali ya maisha ya sasa. Pia tunahudumia ofisi mbalimbali...
1 Reactions
1 Replies
731 Views
Mwenye matairi used ya boxer na rim zake check me 0768688195
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hbr zenu wakuu.. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nauza viwanja viwili maeneo ya salasala kwa babu,kutokea tegeta kwa ndevu ni dk 5 au unaweza kupitia mbuyuni pia ni dk 5 unafika...Kiwanja...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Smart phone lenovo s850 used..internal 16gb..Ram 1gb kwa laki na 20 tu...pm for serious buyers
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Habar Wakuu Mayai ya kuku wa Kisasa Yanapatikana kwa bei 7000/= site ( Site yetu ipo KITUNDA) ni mpya na mzigo tunazalisha Wenyewe but kwa wale wa maeneo ya Mbez beach maeneo ya karib...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nguruwe miezi 3 wapo 9 na wengine miezi 4 wapo 10 wanauzwa. Bei ya mmoja wa miezi 3 ni elfu 65 ya miezi minne ni elfu 90. Karibu inbox
1 Reactions
23 Replies
12K Views
Plot size sqm 700 Ipo ndani ya fensi Vyumba vi nne vyote master Electronic fense Electronic gate Full perving. Kitchen nzuri ya kisasa All basic needs available Nusu kilometer kutoka Main road ya...
0 Reactions
0 Replies
612 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, pia mwenye nyumba asiwe anaishi hapo, Kiwe na umeme na maji bei Tsh 30,000 Nakaribisha mazungumzo.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
BAADA YA KUUZA LILE KABATI 150000/= LEO NAKUUZIA SAMSUNG GALAXY NOTE 3 STORAGE 32GB ROM 1GB INAUZWA 500000 0713055107 MOROGORO MSAMVU
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari! Nahitaji laptop yenye sifa hizi: Ram >3gb HDD >320gb Processor i3 Inakaa na chaji.. Isiwe used kwa mda Mrefu.. Bajeti yangu ni 300k.. If interested, Karibu PM
0 Reactions
3 Replies
677 Views
Pata HIK vision CCTV camera system yenye camera 4 kwa Tsh 760,000/- kutoka I Secure Technology. 0758728258, www.isecure.co.tz Huduma nyingine ni -electric fence -intruder alarms -fire alarm...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
BITCOINS ni pesa ya kidigital isiyoshikika, hii pesa ni bora kuliko pesa zote duniani, inatumika na inazidi kutumika sana kwenye nchi za ulaya kuliko afrika, lakini kwasasa inazidi kushika kasi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom