Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Toyota Vitz namba T957 CJC inauzwa. Iko katika hali nzuri kama picha zinavyojionyesha. Bei ni 5.5milioni . Iko Dar es Salaam. SOLD
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Nauza Gari Suzuki Escudo kwa Sh. 5,800,000/=.Gari haina shida bali ni kupiga rangi tu.Gari iko Mbezi ya Kimara,Dar es salaam. Tuwasiliane 0683-796778 au whatsapp 0628-615685.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Simu tajwa hapo juu inauzwa 270k haina tatizo lolote nipo dar
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau, Naomba anayejua panapouzwa simu mpya ya TECNO C9 pamoja na bei yake, kwa Dar-Es-Salaam, atujuze. Natanguliza shukrani!
0 Reactions
16 Replies
23K Views
Nauza simu Techno C 9 , almost mpya. Ina screen protector ya kioo, back cover nzuri sana na ya kisasa, iko pamoja na kila kitu chake kwa maana ya charger, headphones, kitabu chake pamoja na box...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Ndugu zangu wana jukwaa, Ninauza kigari changu aina ya Toyota Duet kwa harakaili kutatua tatizo linalonikabili. Gari yenyewe ina specifications zifuatazo:- Make...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Nauza Toyota duet, gari ni nzima ina Ac na tairi bomba only for 3.7Mil, serious buyer call 0659574107
0 Reactions
5 Replies
2K Views
For sale galaxy A8 in new condition 32gb,4gLTE Direction mbezi mwisho mob 0658175728 Only buyers please all the bussiness should be on home mbezi mwisho No deriver
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Km nlivosema n fasta Nichek 0653205817... Bajet...250.. Aliye serious tufanye biashara
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Naomba msaada kwa yoyote anaejua bei ya manunuzi kwa kila kreti za pepsi na kama kuna idadi flani ya kreti ukichukua kuna kuwa na discount ? Msaada tafadhali
0 Reactions
1 Replies
13K Views
Habari wadau..! Ninazo sleeping tents canvas material za ukubwa wa 3m² na nyingine 2.5m² zote zipo kwenye hari nzuri. Kwa anae hitaji please ani PM.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
habari wadau nauza friji ndogo haina ya sanyo- mgh.. nimeitumia miez mitano... sababu ya kuuza nimenunua friji kubwa zaidi baada ya kupata mtoto.. imekuwa haitutoshi... picha hizo hapo attached...
2 Reactions
8 Replies
6K Views
Ndugu zangu natafuta vibanda vidogo vilivyotengenezwa ambavyo vinahamishika kwa ajili ya biashara ndogondogo naomba kujua NIMESHAPATA KIBANDA
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Kwa wale wa mikoani popote ulipo naweza nikakutafutia kitabu chochote kile unachokitaka kisha nitakituma popote ulipo
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Rav 4 inauzwa ipo katika hari nzuri (haina tatizo lolote) MODEL : RAV 4 BODY TYPE: STATION WAGON COLOUR: SILVER ENGINE CAPACITY: 1990 FUEL: PETROL FROM: JAPAN MANUFACTURE: 2003. INA...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Heri ya Mwaka mpya. Wadau nawatangazia upatikanaji wa Kuku Wazuri (Watamu) wa Kienyeji kutoka Bara kwa Dar. Tunahitaji Mnunuzi mwenye uwezo wa kununua kutoka kwetu Kuku wengi kuanzia 100, 200...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
FLEXCODES is a full service digital agency dealing with • Web development (websites, Shopping carts, school, hospital, inventory management systems and all kind of systems according to user...
0 Reactions
1 Replies
857 Views
VunjaBei Matelephones, msambazaji na muuzaji mkuu wa smartphones za kisasa kwa bei pouwa, ninawatakia wateja wangu wote pamoja na wale wanaofuatilia huduma zangu kupitia mitandao ya kijamii hasa...
0 Reactions
0 Replies
924 Views
Back
Top Bottom