Ushauri, watanzania wengi hatuna utamaduni wa kubadilisha kitu, wengi wetu husubiri hadi itokee kimeahindwa kifanya kazi. Sasa hiyo used unayotafuta isije ikakuletea madhara kulingana na unyeti wa kitu chenyewe(matairi&rim). Nenda dukani tu kanunue mpya kwa manufaa/usalama zaidi rafiki. Asante