Habari za kazi wadau wa jamii forum.
Mimi ni mjasiliamali nahusika na uuzaji wa asali halisi kutoka tabora kwa bei ya jumla na rejareja.
Bei ya jumla ni elfu tisa kuanzia lita tano, na bei ya...
Nahitaji mabanda au vyumba kwa shughuli za ujasiriamali.(eneo la kutengenezea bidhaa) . Eneo liwe kimara, ubungo na maeneo jirani na hayo au maeneo mengine usafiri usiokuwa tabu. USALAMA NA UMEME...
Hello everybody, I'm Said from Trident International Ltd and we sell used containers in many countries including Tanzania. We currently have 40HC containers and also 40RH (Reefer) containers for...
Salaam husika na kichwa habari,
Inahitajika.
Budget ni sh. Mil 3
kwanza unakula 2 halafu moja utalipwa kidogo,kidogo.
Gari inatakiwa iwe nzima haidaiwi kitu chochote.
Iweze kuruka mkoa fasta na...
Wapendwa habari za mchana,naomba kama kuna mtu unamfaham ambaye anahusika na kupack dvd au cd covers na printing naomba uni PM ,ili tufanye kazi
Asanteni kwa umakini wenu
Kama una nyumba na unataka ipendeze, basi wasiliana nami,, tunapaka rangi kisasa, tupo dar, hata mkoani tunakuja ukitaka, bei zetu ni nafuu sana,, wasiliana nami kwa namba 0769217553
nilikuwa na tatizo hili lilinitesa! hata kutongoza nikihofu! kwamba huyu atanitangaza na kudhalilika, baada ya kuhangaika kwa takriban miaka 12 hatimae mungu aliionyesha njia! sikutegemea kuna...
Mradi wa Kuwawezesha wanawake Kiuchumi Kupitia Tasnia ya urembo ujulikanao kama Manjano Dream-Makers ulioasisiwa na Taasisi ya Manjano Foundation utaendesha mafunzo ya ujasiriamali kwa wanawake wa...
Habari Wana JF.
Nyumba inauzwa, iko Magomeni Mwembechai,Mtaa wa Rudewa. Ina maji na Umeme. Haina Matatizo ya Barabara. Iapitika 24/7. Ni ya vyumba Sita(Nyumba Kubwa) na Vyumba Vitatu(Uani). Ina...
Jiko linauzwa
*lina oven na plet mbili kwa juu
*Ni zuri halina matatizo yoyote kwani halijatumika sana(ni kama jipya tu)
*kama unafanya biashara ya keki litakufaa zaidi
*bei ni lakimoja na...
KISIMA KISIMA KISIMA KISIMA.
HABARI NJEMA KWENU AMBAO MPAKA SASA MNASUMBULIWA NA SWALA MAJI IWE NI KWA MATUMIZI YA NYUMBANI AU SHUGHULI ZA KILIMO AMA UFUGAJI.
MIMI NAWALETEA UFUMBUZI WA...
*INSTITUTE OF PROCUREMENT AND SUPPLY - IPS*
"Chuo cha ugavi na ununuzi"
Chuo kinatangaza nafasi za masomo kwa wahitimu wa kidato cha nne na sita kwa kozi za Cheti na Diploma katika Fani ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.