Wakuu,
Nataka nipate mashine inayofanya kazi ya i)Kuprint ii)Kuscan & iii)Kutoa copies,
Pia iv)kuprint passport.
Kuna ndugu kaniambia alisikia kuwa Epson LL220 iko vizuri kwa hizo functions...
Tunsume Skills Training college inatoa mafunzo ya lugha (kiingereza, kifaransa na kiswahili) kwa wanaohitaji kujitayarisha kukabili ushindani ema katika soko la ajira ama soko la biashara ndani na...
Wadau habari za Wkend. Nahitaji Kiwanja ama pagala liwe Tabata Kimanga, Segerea, Mawenzi, Kisukuru ama Kinyerezi. Bajeti below 15 Mil. Eneo lisiwe kwenye mwinuko. Kwa aliye tayari aweke Eneo...
Ile offer bado inaendelea kwa wale wote wahitaji wa viwanja kwaajil ya kujenga!!
Wachache walio wahi wameshajipatia na kwa wengine bado hamjachelewa!!
Viwanja vinapatikana CHATEMBO,
Ni kilwa road...
Vinauzwa vyote Kama vilivyo kwenye picha.
Mashine mbili
Sterilizer
Viti vya kisasa
Kiti cha kuoshea
Kochi
Mlango wa aluminum na picha zake
Display ya ukutani ya ngazi mbili.
Jipatie quality masai shoes kwa bei poa jumla na rejareja vinapatikana kwa oda maalum
Whatsapp 0653783552 kwa maelezo zaidi pia
Follow page yetu instagram african_products01
Habari za humu ndani wana JF. Natafuta mtu Tour guide mwenye uwezo wa kuongea na kuandika kituruki.kwa maelezo zaidi Tuwasiliane humu tafadhali +255653405474
Kiwanja kipo km kilometre 10 mpaka 12 kutoka fery kwenye panton na kutoka kiwanjan mpaka beach ni meter 400 mpaka 500.
Block no 7 plot no 118.
Kiwanja kipo karibu na nyumba za national housing na...
Njoo ujifunze maujanja ya technologia kwa kutumia simu au computer yako kwa urahisi na ujuzi zaidi!!!
1)Kuunganisha CPU na tv yako,
2)jinsi ya kujua quality ya movie, na uzuri Wa movie kabla...
Kiwanza kinaunza
Mahali: Kinzudi
Ukubwa: 40*50m
Bei:. Milion 65 (maongez yapo)
Umeme na maji vipo hapo hapo
NB: Kuna jengo la ghorofa moja ambalo kidogo lipo chini ya kiwango, ni uamuz...
Niko songea mjini toka jumanne na tarehe 2 january narud dsm, nauza iphone 6 yenye gb 16 ina miez mitatu iko in good condition km mpya tu. Kwa anayejitaj anichek 0713806766. Bei laki 9 Karibun sana
Kuna gari toyota allion A15 imekuja na rim sijazipenda na nataka ongeza size ya yairi walau iinuke kidogo hata cm chache.
Wapi nitapata sports rim na tairi kwa bei nzuri..
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya Mikocheni au Mbezi Beach kwa bajeti ya Sh. 1,600,000 per month.
Nipo tayari kulipa kodi ya mwaka.
Kama kuna mwenye kuwa na nyumba ambayo angalau ina vyumba 4...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.