Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Hawa continental eti jamani wameshusha bei ya kingamuzi mpaka 26000? Na mwenye kujua bei ya vifurushi vya antenna pls
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu, Nataka nipate mashine inayofanya kazi ya i)Kuprint ii)Kuscan & iii)Kutoa copies, Pia iv)kuprint passport. Kuna ndugu kaniambia alisikia kuwa Epson LL220 iko vizuri kwa hizo functions...
0 Reactions
0 Replies
826 Views
Tunsume Skills Training college inatoa mafunzo ya lugha (kiingereza, kifaransa na kiswahili) kwa wanaohitaji kujitayarisha kukabili ushindani ema katika soko la ajira ama soko la biashara ndani na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau habari za Wkend. Nahitaji Kiwanja ama pagala liwe Tabata Kimanga, Segerea, Mawenzi, Kisukuru ama Kinyerezi. Bajeti below 15 Mil. Eneo lisiwe kwenye mwinuko. Kwa aliye tayari aweke Eneo...
1 Reactions
1 Replies
585 Views
Salama wakuu. Naomba msaada kwa aliyepo Tanga. Natafuta kiwanja cha bei poa naeneo ya Majani Mapana. Ni eneo la kujenga nyumba ya kuishi. Msaada plz.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ile offer bado inaendelea kwa wale wote wahitaji wa viwanja kwaajil ya kujenga!! Wachache walio wahi wameshajipatia na kwa wengine bado hamjachelewa!! Viwanja vinapatikana CHATEMBO, Ni kilwa road...
1 Reactions
0 Replies
823 Views
Npo mangaka mtwara ,contact no: 0653219535
0 Reactions
0 Replies
496 Views
jinsi ya kupata ni kwa kuniuzia smartphone yako. aina samsung j2,j3,j5 au tecno phantom, c9 sonny xperia z3 ,z2 0673229342
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Vinauzwa vyote Kama vilivyo kwenye picha. Mashine mbili Sterilizer Viti vya kisasa Kiti cha kuoshea Kochi Mlango wa aluminum na picha zake Display ya ukutani ya ngazi mbili.
1 Reactions
4 Replies
9K Views
Jipatie quality masai shoes kwa bei poa jumla na rejareja vinapatikana kwa oda maalum Whatsapp 0653783552 kwa maelezo zaidi pia Follow page yetu instagram african_products01
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari za humu ndani wana JF. Natafuta mtu Tour guide mwenye uwezo wa kuongea na kuandika kituruki.kwa maelezo zaidi Tuwasiliane humu tafadhali +255653405474
0 Reactions
0 Replies
697 Views
  • Closed
Mashine imeshauzwa ****Thread closed****
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kiwanja kipo km kilometre 10 mpaka 12 kutoka fery kwenye panton na kutoka kiwanjan mpaka beach ni meter 400 mpaka 500. Block no 7 plot no 118. Kiwanja kipo karibu na nyumba za national housing na...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Njoo ujifunze maujanja ya technologia kwa kutumia simu au computer yako kwa urahisi na ujuzi zaidi!!! 1)Kuunganisha CPU na tv yako, 2)jinsi ya kujua quality ya movie, na uzuri Wa movie kabla...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kiwanza kinaunza Mahali: Kinzudi Ukubwa: 40*50m Bei:. Milion 65 (maongez yapo) Umeme na maji vipo hapo hapo NB: Kuna jengo la ghorofa moja ambalo kidogo lipo chini ya kiwango, ni uamuz...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Inauzwa samsung note 2 orignal ya korea inatatizo la touch tuu haina tatizo lingine ni kama uko interest inauzwa laki 2 pm me now
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Niko songea mjini toka jumanne na tarehe 2 january narud dsm, nauza iphone 6 yenye gb 16 ina miez mitatu iko in good condition km mpya tu. Kwa anayejitaj anichek 0713806766. Bei laki 9 Karibun sana
0 Reactions
1 Replies
791 Views
Kuna gari toyota allion A15 imekuja na rim sijazipenda na nataka ongeza size ya yairi walau iinuke kidogo hata cm chache. Wapi nitapata sports rim na tairi kwa bei nzuri..
0 Reactions
13 Replies
7K Views
Nataka kuweka zile chuma za silver zinawekwa kama ngao mbele na nyuma na kuzunguka gari.0673229342
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya Mikocheni au Mbezi Beach kwa bajeti ya Sh. 1,600,000 per month. Nipo tayari kulipa kodi ya mwaka. Kama kuna mwenye kuwa na nyumba ambayo angalau ina vyumba 4...
0 Reactions
53 Replies
5K Views
Back
Top Bottom