Ni mafundi wa zuri wa skiming pamoja na rangi aina mbalimbali tunafanya desing mbalimbali za rangi na deccoration kwa mazungumzo zaidi wasiliana nami kwa namba hii 0718884670
Ungependa kuanza mwaka kwa kutumia vitu asilia vitakavofanya ngozi yako iwe yenye kuvutia na kuepukana na magonjwa ya ngozi muda wote?ANATIC HERBAL SOAP ni sabuni iliyothibitishwa kimataifa na...
Habar ya mwka mpya, karibuni scarf za shanga jumla 7000 rejareja 9000 nipo arusha ila mkoani pia natuma, Mafunzo pia yapo kwa maelewano zaidi call/wasap 0755661541.karibuni sana wapenzi
Natumaini mpo wazima wa afya njema,
Husika na mada hapo juu, kuna father mkubwa ana "TAN" za karanga nyekundu na nyeupe yupo kwenye mchakato wa kuzikoboa, sasa kuna dogo anazisimamia kuzikoboa...
Kwa wale wanaohitaji kuuza magari yao kwa sababu zozote zile na wale wanaotaka kununua magari (second hand) Tuwasiliane kwa number 0713632706 Ofisi zetu zipo Kinondoni B,Ikugi street PLOT 24/25.
Habari wana Jf.
Bei ni 2.7mil maelewano yapo.
Ukubwa ni mita15*15.
Kilomita moja kutoka barabara ya lami ya Chanika(Kwa wenyeji wa Chanika ni jirani na pale kwa Mzelu(Chabupu) kwa miguu ni...
habari ya humu wakuu am
Tanzanian live in Nairobi nafanya
kazi zote za gypsum kama-
gypsum partition
gypsum celling
acoustic celling
nina uzoefu wa muda mrefu pia
nimefanya kazi sehemu...
BIASHARA YA SAMAKI MOSHI/ARUSHA
Hivi karibuni nataka nianzishe biashara ya kusafirisha samaki waliokangwa pamoja na waliobanikwa kwa pamoja kutoka ziwa viktoria(Mwanza) kwa mtaji kidogo uliopo...
Smartfone hizo zinauzwa ila zina matatizo.
Samsung Tab 3 imeharibika display.
LG G3 inashida ya Network.
Zinanijazia nafasi ndani kwa anaeona zinamfaa aniPM.
Doctor usinga tiba asili nibingwa wa matatizo mbali mbali kama kupandishwa yota, kupandishwa cheo kazini, kurekebisha ndoa zenye migogoro, kupata pete yabahati, dawa ya masomo darasani, dawa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.