Chumba na sebule vinahitajika. Maeneo iwe Kimara, Ubungo ama sehemu ya karibu na barabara yapitayo magari ya mwendokasi ili iwe rahisi kufika Stesheni. Iwe na umeme na maji. Gharama isizidi...
Naomba kuuliza wataalamu WA cg kama soko ili liko vizuri maana na mimi Nina models chache na pia nataka project au competitions kama kuna ili soko afrika au nje tufaamishane
habari wapendwa tunauza kuku aina ya chotara Ambao wanamiezi mitatu unaweza kuendelea kuwafuga au kula manake tayari kwa ajili ya kuliwa ni wakubwa na wenye afya tupo dar,,,maeneo ya mbezi...
Jiko linapangishwa liko kawe Ukwamani katika jengo jipya la Victoria IN, Jiko liko karibu na baklesa na ni jiko kubwa. bei maelewano.
Unaweza kuwasiliana Na Mama yangu ktk namba ya simu 0754313304
Rejea kichwa cha habari,kwa yeyote anayeona mbali.
Karibu umiliki ardhi Dar,maeneo ya Mbezi Msumi,
Unaweza fika kwa Kupitia Mbezi mwisho au Kurudia Mlimani City,via Changanyikeni na tena Njia za...
Imetumika miezi kadhaa ila bado ipo ktk ubora wake, kama inavyoonekana kwenye hzo picha hapo. Haina tatizo lolote wala kasoro yoyote na hili kudhibitisa nachosema unaruhusiwa kuikaguwa kadri...
Jipatie mashine ya kichujia maji ambayo haitumii umeme ni rahis kutumia na ni salama kwa asilimia 100 kwa maana ina kipenyo cha micrometer cha 0.2 ambacho hakiruhusu bacteria wala uchafu wa...
House for rent:
Three bedrooms one is master
Two public toilets
Wardrobes in all three bedrooms
DAWASCO Water available plus reserve tanks of 1,2000 Ltrs
Sharing compound - 2 apartments in one...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.