Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Maeneo ya Kizota, Nkuhungu, Area A chumba kiwe kikubwa na kizuri nipigi au tuma sms 0716978592
0 Reactions
0 Replies
639 Views
Chumba na sebule vinahitajika. Maeneo iwe Kimara, Ubungo ama sehemu ya karibu na barabara yapitayo magari ya mwendokasi ili iwe rahisi kufika Stesheni. Iwe na umeme na maji. Gharama isizidi...
0 Reactions
3 Replies
814 Views
Naomba kuuliza wataalamu WA cg kama soko ili liko vizuri maana na mimi Nina models chache na pia nataka project au competitions kama kuna ili soko afrika au nje tufaamishane
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Imevunjika screen inahitajika kukibadili kwa garama ya laki na nusu, mimi naiuza laki moja niko moshi, mwenye uhitaji njoo pm
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nauza til ya m...pesa.inbox 0757658783.nipo mlowo Mbozi.
0 Reactions
1 Replies
736 Views
habari wapendwa tunauza kuku aina ya chotara Ambao wanamiezi mitatu unaweza kuendelea kuwafuga au kula manake tayari kwa ajili ya kuliwa ni wakubwa na wenye afya tupo dar,,,maeneo ya mbezi...
0 Reactions
0 Replies
460 Views
IPO katika hali nzuri, ina 4g camera ya 13mp,ina 16gb internal memory na 2gb ram kwa anaehitaji anitafute kwa namba 0625625463
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sharp32LED 3hdmi ports 1usb Vga port Ipo vizuri imetumika kwa miezi8 warrant yake bado 1yrs4months Ni PM kwa maongezi zaidi
0 Reactions
3 Replies
788 Views
Jiko linapangishwa liko kawe Ukwamani katika jengo jipya la Victoria IN, Jiko liko karibu na baklesa na ni jiko kubwa. bei maelewano. Unaweza kuwasiliana Na Mama yangu ktk namba ya simu 0754313304
0 Reactions
0 Replies
690 Views
Kama nilivyokwisha tangulia kusema on heading kama kuna mtu mwenye nayo anitafute kwa namba 0659254488 au 0688624299
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kama kichwa kinavyojieleza naomba kama unamfahamu dalali mzuri wa nyumba Mtwara mjini uniunganishe naye. Ahsante.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Rejea kichwa cha habari,kwa yeyote anayeona mbali. Karibu umiliki ardhi Dar,maeneo ya Mbezi Msumi, Unaweza fika kwa Kupitia Mbezi mwisho au Kurudia Mlimani City,via Changanyikeni na tena Njia za...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Imetumika miezi kadhaa ila bado ipo ktk ubora wake, kama inavyoonekana kwenye hzo picha hapo. Haina tatizo lolote wala kasoro yoyote na hili kudhibitisa nachosema unaruhusiwa kuikaguwa kadri...
1 Reactions
0 Replies
807 Views
Anahitajika pharmacist a degree holder wa kusimamia pharmacy iliopo Kigamboni mshahara maelewano Mawasiliano 0713214258
0 Reactions
2 Replies
865 Views
Jipatie mashine ya kichujia maji ambayo haitumii umeme ni rahis kutumia na ni salama kwa asilimia 100 kwa maana ina kipenyo cha micrometer cha 0.2 ambacho hakiruhusu bacteria wala uchafu wa...
0 Reactions
0 Replies
556 Views
Mambo vipi wadau nilikua naulizia kama kuna mtu anajua duka Linalouza drone kwa dar
0 Reactions
3 Replies
10K Views
House for rent: Three bedrooms one is master Two public toilets Wardrobes in all three bedrooms DAWASCO Water available plus reserve tanks of 1,2000 Ltrs Sharing compound - 2 apartments in one...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom