Ninauza kwa ujumla suit Jackets, hata unaweza kununua 200 suit jackets. Pia tuna nguo za watoto, wedding dresses, viatu, vitabu vya watoto, academic books, and novels.
Bei nzuri. Unaweza ukanipa...
Habari wanajamii. Naomba msaada wenu wakuu kuhusu aina ya gari la kununua kwa mtu ambaye bajeti ya mafuta kwa mwezi ni Sh 200,000. naishi Kivule ambapo barabara ni ya mashimo na nafanya Posta...
We are providing below service:-
Hosting for a cheap price
Web Application & Android Application development for a cheap price
Domain registration
24hr support
Please visit us through link...
Tanzania properties ni kampun mpya inayojiushisha na biashara ya kuuza kupangisha kumanage real estate
Tunatafuta motivated real estate agent ambao tunaweza kufanya kaz pamoja tukafika malengo...
HABARI WADAU TUPO MAGOMENI TUNATOA LOCK YOYOTE YA SIMU IWE GOOGLE, PATTERN AU PIN BILA KUFUTA MAFAILI , SIMU KUTOKA NJE AMBAZO ZIMELOKIWA NA ZOTE ZILIZOFUNGWA NA TCRA KARIBUNI BEI INATEGEMEA NA...
Bestates Properties
Contact: 0786157788
zinauzwa • TSh bilioni 1 • kata ya Kikatiti, mita 200 kutoka barabara kuu ya Moshi - Arusha
panapatikana molam nyeusi • vibali na mikataba vyote vipo...
-Apple MacBook AIR -- Laptop
SPECS
-Intel core i 5 - 2467m CPU @ 1.6 GHz
-4GB RAM
-120 GB SSD Hard Drive
Haina michubuko yoyote, popote, sawa na mpya. Haijatumika.
BEI Tsh. 900,000
CONTACT...
Tunatoa huduma za hosting, tunauza domain na pia tunatengeneza Web Application, Android Application kwa gharama nafuu sana,
Tutembelee kwenye site yetu
[emoji117]www.yatosha.com
CONTACT US...
Ni apartment yenye vyumba viwili ikiwemo master bedroom! Jiko, sebule kubwa, family toilet na nafasi kubwa ya kupaki Gari ndani ya fence! Nyumba inapatikana Makongo juu Kwa kodi ya 450k kwa mwezi...
Habari kwenu wajasiliamali. Naomba niende kwenye mada moja kwa moja.
Natafuta mabembea aina tatu kama ifuatavyo.....1. Bembea la kuninginia watoto watatu hadi watano kwa wakati. 2. La kuzunguka la...
Hapa kwenye hii ofisi nina mwaka mmoja tu, nilivyoajiriwa hapa niliwakuta wenzangu wengi wakiwa wanafanya kazi na wanaendelea na masomo, wengi walikuwa wanasoma diploma na degree. Mimi nilikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.