Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Je wewe ni mpenda shopping? je wewe una bidhaa unataka kuuza? Kuna application nzuri sana ya android kwa ajili yako inayoenda kwa jina la shop255 Shop255 - Android Apps on Google Play Download...
0 Reactions
0 Replies
522 Views
Mwenye gari aina ya toyota kluger au Toyota harrier namba yoyote ilimradi gari iwe katika hali nzuri,bajeti yangu ni 9m,nipo nzega,ila hata km iko dar naweza kufika tu na kuicheki.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wakuu,nauza amplifire na equilizer ya gari,ni original kabisa, sababu ya kuuza nimeuza gari yang nikatoa mziki sababu mnunuzi alishindwa kufika bei ikabid nipunguze baadhi ya vitu...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari zenu wadau, mimi nipo Tanga mjini natafuta nyumba ya kupanga yenye vyumba 3 au 4, naomba Msaada wenu wadau wa JF kama Kuna mtu anaweza kujua, Natanguliza shukrani.
2 Reactions
4 Replies
4K Views
Fungus sehem za siri, U.T.I sugu, kuwashwa sehem za siri,kutoa harufu mbaya nk Hii ni Femicare, haina madhara na imesinitishwa na TFDA Inapatikana kwa Tsh 35000/= tu Nicheki 0714547830
0 Reactions
0 Replies
730 Views
Sold
2 Reactions
10 Replies
3K Views
NOVAGE ndio suluhisho lako! Jipatie seti yako nzima ya novage upate suluhisho LA ngozi yako! Novage itakusaidia kuondoa chunusi na madoa usoni, kuondoa makunyazi usoni( Winkle ) kuondoa matobo...
0 Reactions
0 Replies
701 Views
NOVAGE ndio suluhisho lako! Jipatie seti yako nzima ya NOVAGE uepukane na matatizo ya ngozi yako! Itakusaidia kuondoa makynyanzi usoni, kuondoa chunusi na madoa, mikunjo ya aina yoyote usoni na...
0 Reactions
0 Replies
809 Views
Je? Wewe n blogger na umetafuta adsense account kwa mda mrefu, sasa jipatie Active ADSENSE account inauzwa pamoja na blog yake. Kwa bei pouwa. Kwa mawasiliano zaid 0714447552. Blog hii hapa...
0 Reactions
1 Replies
691 Views
Msaada wakuu, Ninashida na Daily hasa notebook zinazotengenezwa na Hawa jamaa MOLESKINE ya Ngozi au hata ya kawaida.
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza kiwanja ukubwa 30*20 kibaha picha ya ndege kwa Mtopa 1km kutoka Morogoro road bei 4,000,000 mawasiliano 0623958755
0 Reactions
0 Replies
462 Views
Ipo kigamboni kisiwani Metre 100 kutoka barabara ya lami. Inavyumba vitatu vya kulala, na masterbedroom Jiko,sitting room,na dinning. Km 4 kutoka ferry na km 2 kutoka darajani Ukubwa wa eneo...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Nyumba inauzwa ipo tegeta kwa ndevu barabarani kiwanja kinaukubwa wa futi 61 kwa futi 35 Nyumba inafaa kwa matumizi ya biaahara Being mil 350 ipo karibu na GdB house and social centre...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nauzi samsung tablet E, imetumika Kwa miezi miwili , inauzwa Tsh 450,000 Inakuja Na cover Na accessories zake zote simu 0656 064808
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Iphone 5s for 400k Ios 10.2 Grey color Touch Id
0 Reactions
0 Replies
543 Views
Heshima kwenu wakuu Ninaomba msaada ninacreate PayPal account sasa nimekuwa napata tabu sana na hii zip code sielewi nijaze nini hapo kwenye zip code na kingine ni hizo state zinakuja suggestion...
0 Reactions
1 Replies
660 Views
Kampuni yetu inataka muuzaji anayeuza VIOO kwa bei ya jumla na tutafurahi kama tutapata maelekezo madogo kutoka kwake, tuko tayar kufanya kazi na huyo mtu,
0 Reactions
0 Replies
2K Views
oya mazee msaada jamani natafuta saiti ya kujifunza ufundi wa masofa eneo dsm
0 Reactions
0 Replies
676 Views
Nahitaji HDD za ndani za desktop 2TB aina ya SATA 50 PCS brand yoyote niuzie kwa bei ya jumla. 0713558111 wassap only
0 Reactions
0 Replies
720 Views
Back
Top Bottom