01. Ukubwa sqm 900 ina hati miliki. Bei tshs 45 mil.
02. Ukubwa sqm 1200 ina hati miliki. Bei tshs 65 mil.
03. Ukubwa sqm 2000 ina hati miliki. Bei tshs 100 mil.
Kwa maelezo zaidi au kwenda...
Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key).kwa magari aina zote yaani TOYOTA,VW,BMW,FORD nk.Kama unahitaji funguo ya...
Jibu la matatizo lipo Bora Computer Solution.
Tunatengeneza laptop na desktop aina zote, tunabadilisha Operating System(OS) kama vile Windows 7, 8, 10 na kwa mahitaji ya kubadilisha vioo vya...
Kwa mwenye uhitaji wa kujifunza somo LA physics na mathematics Kwa olevel na advanced level....npo ubungo msewe nasoma udsm hapa..tunaweza saidiana mambo kadha wa kadha namba zangu .0743282756
Ukubwa eka 10 hazijapimwa zina karatasi za mauziano ya serikali ya mtaa. Umbali kutoka barabara kubwa ya Bagamoyo Road kwenda kwenye eneo ni kilometa 2. 5. Huduma ya umeme na maji zote zipo...
jJITA VOCATIONAL TRAINING COLLEGE (JITA VTC)
Tunawakaribisha vijana wote wenye mtazamo mbadala hasa baada ya kupata ufaulu/matokeo ambayo hayakuwaridhisha.
Tusiwakatishe tamaa na wao hawana sababu...
Nina milioni 4 nahitaji gari haswa na.C iliyoko kwenye hali nzuri. Au kama na.D naweza toa milioni 5.
Nitumie picha na bei whats up tukikubaliana nije kukagua tayari kwa buashara.
A au B liwe...
Kabila ni samsung. For 900000.. tutaelewana karibuni.
Ni kubwa la milango miwili.
Halina tatizo lolote lipo kama jipya.
Mashine ya kufulia ni kilo 6 for 350000
0717622717 or 0776950000.
Wakuu wa nchi ninayo Landcruaser Prado TX diesel engine. Iko safi kabisa imeparking tu uani .Nilikuwa nahitaji hizi landcruaser hardtop kwa ajili ya kupeleka wageni wangu safari ndio maana...
Habari wana JF
Naomba kufahamishwa sehemu ninayoweza pata mabox ya kubebea vifaranga vya kuku. Mabox hayo huwa yametobolewa ili kuruhusu hewa kuingia wakati vifaranga vinasafirishwa.
Nawasilisha
Nyumba nzuri,mpya na ya kisasa ipo maeneo ya Mbagala chamazi.Imejengwa ktk ubora wa hali ya juu na ipo karibu na barabara na huduma nyengine za kijamii...