Habari zenu wakuu?
wakuu natafuta mtu ambae yupo dar hapa anayeuza glass screen protectors za simu mbalimbali,kama vile iphone,tecno,samsung na itel kwa bei rahisi ya jumla hata rejareja naomba...
Ipo katika hali nzuri sana. Na ina sifa zifuatazo
Processor : Core i5
RAM : 6GB
HDD : 500 GB
SCREEN : 14 Inches
OS : Windows 10 Pro, 64 Bits, Activated and all drivers installed
PRICE : Tsh...
Habari wanajamii kama upo na ndoto za kuwa ni bilionea nicheki kupitia watsap number +255656202162 nikuonyeshe njia ya kuingia katika ubilionea siri nzito ipo katika kitabu
SALAMU NYINGI KWENU,
Kwa wale wanaotamani kuwa na makazi Morogoro, kuna jirani yangu anauza kiwanja kipo Morogoro mjini, Kata ya Mlimani, mtaa wa Kikundi.
kwa yeyote mwenye uhitaji huo ani-PM...
[1/21, 11:21] Lazaro Kapinga: Nahitaji karoti mwenye nayo anitafute au kama unamfahamu MTU anayelima anitafute. Sihitaji dalali bali kutoka kwa Mkulima. Mzigo unahitajika kila siku ni biashara ya...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, na inavyoonekana kwenye picha hapa chini gari aina ya Suzuki Ignis inauzwa bei ya kutupwa.
Gari ipo katika hali nzuri haina tatizo lolote...
Nauza sim itel it 1505 (imetumika mwezi 1 tuu)ina warrant ya 2years na inakaa na charge saaana.
Bei Tsh 150,000/=
Mawasiliano piga 0783 724242/0713 724242
Napatikana Dar.
Karibu Autoguru workshop ujupatie kitanda cha 5*6 kwa bei nafuu ya sh 280000 tu. Tunapatikana Kinondoni Manyanya mkabala na msikiti wa BAKWATA mtaa wa Brazil. Tuwasiliane kwa namba...
Wakuu habari!
Nahitaji shaft zenye kipenyo (diameter) 18mm na 17mm na urefu meter angalau 2 mwenye nazo anipm au atoe namba zake nitampigia. Zikiwa stainless steel itakuwa poa sana. Picha angalia...
Broiler ni kuku wa nyama (wa kisasa)
Wana miezi 5 na uzito wa kg 1.4, bei yake ni 5,500 kwa kila kuku mmoja, wapo kuku 500, na wanapatikana Dar es salaam, Boko magengeni,
Mawasiliano 0656646495...
Gari aina ya nissan patrol inauzwa..
nissan patrol Td42..
MANUAL..
rangi nyeupe iko vizuri sana..
namba T 768 BVT
iko dar es salaam..
0712 219148
Nichek tufanye biashara
BEI 18m
maongezi yapo..
Mamy Batiki Suppliers
Ni watengenezaji na wasambazaji wa batiki nzuri isiyokakamaa wala kuchuja, kitambaa Chake ni kizuri na chenye ubora zaidi.
Inapatikana kwa ukubwa wa piece Moja na nusu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.