Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Karibuni mjipatie raba nzuri kwa sh 35000 tu Hatuna duka tunauza online lakini kwa uaminifu mkubwa Njoo uweke order yako kwa kuchagua aina ya kiatu na size unayotaka Tuna raba nzuri nyingine...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mwenye nao tuwasiliane prvt
1 Reactions
2 Replies
883 Views
Jinsi ya kupost link hum jf na jinsi ya kupost video na picha , kila nikijaribu inagoma nisaidien
0 Reactions
0 Replies
464 Views
Karibu Autoguru workshop kwa kazi za aluminium na PVC kwa gharama nafuu zaidi kwa ajili ya nyumba yako au ofisi yako. Tunapatikana Kinondoni Manyanya mkabala na msikiti wa BAKWATA mtaa wa Brazil...
0 Reactions
14 Replies
6K Views
Wana Jukwaa Habarini Nimekuwa nikipambana kwa muda wa miezi miwili sasa kumuuguza Bi Mkubwa Muhimbili. Juzi nimepewa Rufaa nimpeleke India kwa matibabu zaidi. Nikiangalia mfukoni hali haijakaa...
7 Reactions
76 Replies
10K Views
Nimejaribu kuuliza voda house niliponunulia hii simu lakini nao hawajui chochote, simu ni nzuri tu lakini nauliza kwa wewe ambae umeshatumia hizi simu spare zake ulipata wapi? Kuna simu nzuri tu...
0 Reactions
0 Replies
739 Views
No garo bado mpya IPP ktka hali nzuri, in no d, bei m 5.8
1 Reactions
12 Replies
3K Views
CeosTanzania hub ni group la whatssap linalokutanisha Wadau wa biashara kutoka mikoa Tofauti Tanzania lengo ni kujadili, kupeana Elimu inayohusu Uongozi, Ujasiliamali na Biashara. Kila mmoja...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu. Kama tangazo linavyosomeka ningependa kufahamu gharama za manunuzi ya machine ya kusaga nafaka pamoja mahali zinapoatikana. Ningependa kufahamu pia taratibu nyingine za...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Tafadhali, husika na kichwa cha habari hapo juu. Nahitaji mashine ya kukamulia miwa kwa ajili ya kutengeneza sharubati ya miwa. Kwa anayejua zinapopatikana tuwasiliane: 0713 111171
0 Reactions
0 Replies
663 Views
Dont PM. Wewe njoo whatsapp au call tu kupitia digits hizi.... +255 718515171. tciao.!
0 Reactions
9 Replies
3K Views
HABARI MWENYE KUJUA COSTS ZA GARI ZA CMC ATUJUZE hawawek costs za FORD , JAGUAR hata LAND ROVER msaada plz kwa cc wa mikoani
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza tablet Lenovo GB 16 Sh.350
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Natafuta TV ya chogo mwenye nayo anitafute
0 Reactions
6 Replies
752 Views
Suzuki carry(kirikuu) namba C, iko ktkt hali nzuri, ipo Ubungo- DSM inauzwa mil 5 tu mawasiliano: 0713674291
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Huhu ni mfumo wa kieletronic wa hospitali,mfumo huo umetengenezwa na sow technologies na unapatikana kwa bei nafuu kabisaaa karibuni sana.Na hiyo ni demo video ya mfumo huo kwa masiliano piga +255...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Viwanja vilivyopimwa kiserikali vinauzwa Mkuranga. Hatua iliyobaki ni mnunuzi kwenda kuchukua HATI. Kilometre 3 toka Mkuranga Mjini; Umeme unapita na uendelezaji wa maeneo umeshaanza. Bei ni...
0 Reactions
0 Replies
848 Views
Autoguru workshop Tunatengeneza na kuuza fenicha kwa Jumla na rejareja. Kwa fenicha kama: Vitanda vya wakubwa na watoto Double decker kwa shule/Hostel na majumbani Dining Tables Dressing Tables...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Autoguru garage ni kampuni inayoshughulika na utengenezaji wa magari kuanzia, kunyosha magari na kupiga rangi service za magari diagnosis engine overhaul kubadilisha vioo Alarm systems Fleet...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom