Naitwa Alex nina eneo maeneo ya Tabata Chang'ombe, natafuta mwekezaji wa Garage ya kisasa, washing pamoja na parking. Kwa mikakati na mipango zaidi tuwasiliane kupitia namba 0719168005 tufanye...
Habari JF
Natafuta chumba cha kupanga ambacho ni self contained. Bajeti yangu 50,000 na chini ya hapo. Chumba kiwe maeneo ya ligula, coco beach au raha leo. Mawasiliano yangu ni 0652112026. Hali...
KIPO ZANZIBAR, MICHUNGWA MIWILI--NI JIRANI NA HOTELI YA KITALII YA ZANZIBAR SEA CLIFF, NI KAMA KM 20-25 KUTOKA ZANZIBAR TOWN, 20X20 METER.
NI PM KWA MAELEWANO ZAIDI....KARIBU NA UFUKWE, DAKIKA 5...
Whatsapp, text or Call 0654776976. unaletewa popote ulipo kwa mkazi wa D'salaam, kwa wale wa Mikoani na nchi za jirani kama kawaida tunatuma kwa kupitia ofisi za usafirishaji mizigo na vifurushi...
True Ink Associates would like to Announce that the Sixth (6) CISA
(Certified Information Systems Auditor) Review Class is scheduled
to commence on Monday 14/03/2016, Dar Es Salaam City Center...
Techno mpya kabisa kwenye Box lake. Haijatumika. Nmepewa kama zawadi. Ila niko na Simu nyingine natumia.
Imeizidi Techno J8 Boom, kwa manjonjo, kama vile Finger print security and Android 6.0...
Habari zenu wadau!mi nimelima vitunguu Moshi maeneo ya Chekereni.naulizia soko la vitunguu kwa Zanzibar,Dar na Kenya. Km kuna mtu yupo humu Wa maeneo hayo namuomba.Tusaidiane ktk hili ,nawatakia...
Habari,
pata programs za SPSS na STATA kwa matumizi ya Data analysis, research Methodologies bei ni nafuu sana, ni maelewano.
cost will include,
SPSS Package software plus video Tutorial, Plus...
Unene unazidi kuwa tishio kwa afya ya binadamu. Unene unaharibu umbo (shape) la mwili na pia ni kichocheo cha maradhi kama vile kisukari, shinikizo la juu la damu, matatizo ya uzazi, saratani nk...
Kitanda safi cha box 5×6 kilichotengenezwa kwa mbao ngumu pamoja na godoro lake kinauzwa kwa bei ya njaa.. 250k.
Kiko mkuranga...
Sababu ya kuuza ni bei ya kukisafirisha mkoani inazidi bei ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.