ENEO LINAUZWA LIPO MAPINGA JIRANI NA BUNJU B"

ENEO LINAUZWA LIPO MAPINGA JIRANI NA BUNJU B"

Joined
Sep 13, 2016
Posts
5
Reaction score
2
Ukubwa eka 10 hazijapimwa zina karatasi za mauziano ya serikali ya mtaa. Umbali kutoka barabara kubwa ya Bagamoyo Road kwenda kwenye eneo ni kilometa 2. 5. Huduma ya umeme na maji zote zipo jirani. Bei tshs million 350 maongezi yapo.

Kwa maelezo zaidi na mawasiliano piga no hii : 0759 510 593
 
Milioni 50 nalipa fasta..... pesa ipo mfuko wa shati!!
 
Back
Top Bottom