Wadau habari zenu??
Kwa yeyote mwenye vyumba kuanzia viwili ambavyo vinafaa kufanywa madarasa naomba anijulishe.
Vyumba hivyo vitatumika kwa ajili ya kufundishia wanafunzi.
Tungependelea...
Then join our real estate WhatsApp Group now. That group is strictly for property and real estate networking.
"Alone we can do so little; together we can do so much"
Welcome
Viwanja viwili vinauzwa maeneo DSM Majohe Pugu Secondary kwa Chini. Eneo moja Ukubwa ni 28 kwa 25 Bei ni mil 18 MAONGEZI yapo. Na eneo lingine Ni 73× 42 mil 60 MAONGEZI yapo ili kubwa pia...
Karibu Autoguru workshop ujupatie kitanda cha double decker kwa bei nafuu ya sh 480000 tu. Tunapatikana Kinondoni Manyanya mkabala na msikiti wa BAKWATA mtaa wa Brazil. Tuwasiliane kwa namba...
Kampuni ya Autoguru garage & workshop ni wataalamu wa kazi za Aluminium kama:
Madirisha ya Aluminum
Milango ya Aluminum
Office partitioning
kazi za PVC
Stairs Rails
Kwa mahitaji ya kazi hizo...
Autoguru workshop wataalamu wa bidhaa za chuma, kwa mahitaji ya mageti na magrill ya madirisha na milango tuwasiliane.Tunapatikana Kinondoni Manyanya opposite na Muslim school BAKWATA mtaa wa...
Autoguru workshop Tunatengeneza na kuuza fenicha kwa Jumla na rejareja. Kwa fenicha kama:
Vitanda vya wakubwa na watoto
Double decker kwa shule/Hostel na majumbani
Dining Tables
Dressing Tables...
Eneo lipo Kilwa-Kiranjeranje, lina ukubwa wa heka 111, eneo limepimwa na eneo lote Lina madini ya Gypsum.
upo interesting? Karibu!
Bei ni Bilioni 1.
0769535559
Kwa mahitaji ya tshirt za kuprintiwa kwaajili ya familia yko, couples(wapenzi),tshirt zenye swaga za vijana,tshirt wanazoweza vaa watu wa rika lolote,tshirt zenye ujumbe wa maneno ya Mungu,tshirt...
Kwa wale wanao uza au anaye jua jezi za mpira wa miguu zinapatikana wapi naomba kujua gharama zake , pamoja jinsi ya kuzipata kwa mtu aliyeko musoma.
Nahitaji seti isiwe na nembo yoyote...
Naitwa alex nna eneo maeneo ya tabata chang'ombe natafuta mwekezaji wa garage ya kisasa, washing pamoja na parking. Kwa mikakati na mipango zaidi tuwasiliane kupitia namba 0719168005 tufanye maajabu.
Naitwa Alex nina eneo maeneo ya Tabata Chang'ombe, natafuta mwekezaji wa Garage ya kisasa, washing pamoja na parking. Kwa mikakati na mipango zaidi tuwasiliane kupitia namba 0719168005 tufanye...
Habari JF
Natafuta chumba cha kupanga ambacho ni self contained. Bajeti yangu 50,000 na chini ya hapo. Chumba kiwe maeneo ya ligula, coco beach au raha leo. Mawasiliano yangu ni 0652112026. Hali...
KIPO ZANZIBAR, MICHUNGWA MIWILI--NI JIRANI NA HOTELI YA KITALII YA ZANZIBAR SEA CLIFF, NI KAMA KM 20-25 KUTOKA ZANZIBAR TOWN, 20X20 METER.
NI PM KWA MAELEWANO ZAIDI....KARIBU NA UFUKWE, DAKIKA 5...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.