Habarinii za siku ?
Vifaa safi vya ofisin vinauzwa kwa bei safi
1. Meza ndefu 140,000
2. Meza za kawaida za kisasa 2 @ 110,000
3. Viti vya ofisin 5 @ 40,000
4. Computer desktop ya kisasa...
Habari,
Taarifa njema kwa wanachama na ambao wanatarajia kujiunga,
MoonAfricanLight inatoa fursa pekee kwa watu 50 wa kwanza watakao wahi, ambao watalipa tsh 30000/ tu watasajiliwa na kuwa...
Habarini wana jf ninauza keki nipo Shinyanga kwa wanaohitaji, pia natengeneza keki kwaajili ya birthday, kipaimara, komunyio, na sherehe mbalimbali kwa bei nafuu kwa anayehitaji tuwasiliane PM.
Habari wadau. nina nyumba niliijenga picha ya ndege mwaka 2005 na nikaongezea vyumba mwaka 2014 ila nimekwama kwenye kumalizia madirisha ya aluminium.
Nyumba hii ninaipangisha na ninakaribisha...
cc1750, petrol, km58,000, silver,inadaiwa tra300,000 imepata dhoruba upande wa kulia shavu la mbele na nyuma kidogo namba DFB inataka 9.5m mazungumzo yapo. nashindwa ku upload nadhan net haiko...
Kwa wakazi wote wa Morogoro na viunga vyake.
Je una tatizo lolote katika laptop yako?
Una flash au memory card inayokusumbua?
Tatizo lako limekwishaaa…
Muone fundi aliyebobea katika...
Ipo maeneo ya Chamwino Morogoro, mita 100 kutoka lami ya Iringa road ina maji umeme bado haujavutwa ila upo wa uhakika na maji ya uhakika, bei mil 23 maelewano...
Habari za jumatatu wakuu, kuna ndogo angu kaamua kujiajiri mwenyewe.
Ameanza na mtaji wake mdogo wa laki mbili huwa anachukua viatu dar nakuvipeleka mkoani Kama Moro na Dodoma.
Sasa anahitaji...
Shamba lipo Tanga Pongwe panapojengwa mji mpya. Heka nne (4) inatakiwa kubadilishana na noah namba D new medel au noah vox.
Sifa za shamba;
Kilometer mbili na nusu toka main road ndio kunajengwa...
Habari.
INAPANGISHWA:
Ni vyumba 2 (Viwili) kati ya hivyo kimoja ni Masta,
Yenye Sebule kubwa na Jiko Lake pamoja na Choo cha Nje kwa Wageni.
Nyumba ina Sakafu ya Tiles, Ceiling ya Plywood na...
Habari zenu waungwana?
Nauza Toyota Caldina ya mwaka 2002
Ukubwa wa Engine Cc 1990
Kilometa elfu 63,000
Rangi ya Gari Pearl white
Namba ni DFT
Ipo katika hali nzuri sana bei milion 9.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.