Hela za zamani zinauzwa

Hela za zamani zinauzwa

Yumbayumba

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2012
Posts
1,240
Reaction score
850
Habari zenu wakuu, kuna mtu anazo shilingi za zamani anauza
zipo sh 20, sh 5, senti 5, senti 20, senti 10, senti 50 na sh 1
Vp tunaweza kupata mtu anayehitaji?
 
Watafuteni ma-coin collectors kama watakuwa hawana hizo hela kwenye mesium zao watanunua
 
Back
Top Bottom