Natafuta nyumba ya kupanga DSM

Natafuta nyumba ya kupanga DSM

NDESSA

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2013
Posts
1,946
Reaction score
1,801
Nahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya Morogoro rd kuanzia Ubungo Maji mpaka Kimara Mwisho maeneo hayo.
Vyumba Viwili na sebule, pamoja na jiko. Chumba kimoja kikiwa ni master itakuwa vizuri zaidi. Bajeti yangu 150K
 
Nahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya Morogoro rd kuanzia Ubungo Maji mpaka Kimara Mwisho maeneo hayo.
Vyumba Viwili na sebule, pamoja na jiko. Chumba kimoja kikiwa ni master itakuwa vizuri zaidi. Bajeti yangu 150K
Nyumba hii hapa kimara, ni vyumba viwili kimoja master, kodi laki 2
IMG-20170115-WA0037.jpg
IMG-20170115-WA0036.jpg
IMG-20170115-WA0034.jpg
IMG-20170115-WA0031.jpg
IMG-20170115-WA0030.jpg
 
Back
Top Bottom