Kuna mashine yoyote kwa ajili ya palizi?

Inamonga

JF-Expert Member
Jun 25, 2016
779
474
Habari za kazi wakuu..

Nauliza kama kuna machine yoyote ndogo ambayo itanisaidia kufanya palizi shambani. Naona nguvu kazi imekuwa ndogo na kazi haziishi kwa wakati.
Kama kuna kifaa chohote kinaweza tatua hili swala naomba nifahamishwe.
 
zipo ndugu nishawai iona video wasup sijajua kama zimeshaingia tanzania nzuri sana na rahisi, shida sasa sifahamu jina lake wala nini?:)
 
Yah, hii ndio yenyewe kaka iko vzr sana, sijui kama bongo zipo..
 
Nakushauri utumie herbicides, zipo za aina nyingi tu ambazo zinakua ni selective na non selective ila kwa kesi yako wewe inabidi utumie selective ili zisiathiri mazao yako.
Tembelea Agrovet iliyo karibu na wewe utapata msaada zaidi
Habari za kazi wakuu..

Nauliza kama kuna machine yeyote ndogo ambayo itanisaidia kufanya palizi shambani. Naona nguvu kazi imekuwa ndogo na kazi haziishi kwa wakati.
Kama kuna kifaa chohote kinaweza tatua hili swala naomba nifahamishwe.
 
Back
Top Bottom