Nyumba inapatikana Mbezi ya kimara msakuzi, unaingilia kwa paulo.
Ina vyumba vitatu kimoja ni master pamoja na choo cha public.
Finishing nzuri yenye perving.
Fance pia ipo.
Kisima pamoja na...
Hakika dhana ya mabasi ya mwendo kasi ya kuwa yatakuwa tofauti Na daladala zetu haipo tena kutokana Na utendaji wake kuwa ule ule wa daladala.Utofauti uliopo labda ni
1.Aina ya mabasi
2.Kwenda...
Jamani wanateknolojia habari za Asubuhi naomba kujua naweza pata Wapi Drone nzuri waterploof na ikae na chaji atleast masaa 3 na iwe na HD haswa kupiga picha za Usiku.......
Tsh 935,000
[emoji328]Kamera ya mbele 16MP
[emoji328]Kamera ya nyuma 16MP
[emoji331]3GB Ram
[emoji332]32GB memory.
[emoji336]2line ya simu
[emoji336]kioo 5.2 inches.
Jumla na reja reja...
Wakuu zingatieni kichwa cha habari hapo juu. nauza sofa za watu 7 yaan single 2 duble 1 na lile la watatu limoja. Nauza bei rahis mno.
plz ni pm nikuuzie kwa bei ndogo tu
Dear platform members, am in of 300kg of Green Coffee therefore if you may supply please contact me through +255 676 404 393 also am available on WhatsApp by this number.
Thanks in advance
Nahitaji apartment ndogo yenye vitu vifuatavyo:
Master bedroom
Sebule
Jiko (Not very necessary)
Tiles + Gypsum
Umeme (luku ikiwa ya kujitegemea itakuwa poa sana) + Maji
Natamani iwe karibu na...
Heshima kwenu wajasiriamali wenzangu,
naandika uzi huu kwa matarajio kwamba kuna wajasiriamali wengi wadogo/wakati wasio na uwezo wa kumiliki frame/office kwenye maeneo ya barabarani/yanayofikika...
Aina ya property : Kiwanja/Plot
Mkoa kilipo : Morogoro
Eneo : Kilimanjaro, Njia ya Dodoma M 800 kutoka barabara ya Dodoma.
Ukubwa : 1,800 sq.m Low Density
Sifa za eneo : Kimepimwa, Kina offer...
Tunauza pumba za mbao kwa wanaoenda kufanyia mambo yao sisi tuna mashine na tunauza mbao hivyo tunazalisha kwa wingi pumba hizi jumla na leja leja nitafute 0715426668
Nauza Vifaa vya cafe kama ifuatavyo:-
1 meza za plastic idadi 4 Bei elf 40 kwa kila moja.
2 Viti vya plastic vile vigumu idadi 12 Bei Elf 12 kwa kila kimoja
3 Mtungi wa Gesi lake oil ule mkubwa...
Mbegu ya vitunguu aina ya
Lumuma nyekundu kabisa., inauzwa.
Mkulima amekwama hivyo ameshindwa kuitumia
Zipo debe nne .
0755155782 kwa mawasiliano zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.