Mashine ya kukamulia miwa inauzwa.

Mashine ya kukamulia miwa inauzwa.

Ibravo

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
539
Reaction score
202
Habari wanajamii.
Nina mashine ya kukamulia miwa naiuza kwa pesa za kitanzania 800,000/=.Mashine ipo ktk hali nzuri,ipo maeneo ya Dar Mbagala kwa atakaehitaji kuiona.Mawasiliano 0789 780 200,huruhusiwi ku beep.
Pictures are coming soon...
Nawasilisha.
 
Ni hii
 

Attachments

  • IMG-20161018-WA0006.jpg
    IMG-20161018-WA0006.jpg
    29 KB · Views: 66
Kuna mashine mpya kabisa na ya kisasa tena yenye mvuto, sehemu yoyote unaiweka na ukawa wa kisasa, bei ni laki nane. Sasa wewe sijui umeweka nini hiyo ya sido?
 
Habari wanajamii.
Nina mashine ya kukamulia miwa naiuza kwa pesa za kitanzania 800,000/=.Mashine ipo ktk hali nzuri,ipo maeneo ya Dar Mbagala kwa atakaehitaji kuiona.Mawasiliano 0789 780 200,huruhusiwi ku beep.
Pictures are coming soon...
Nawasilisha.
wasiliana na mkulu wa Tanzania ya viwanda nafikiri atakutoa
 
Kuna mashine mpya kabisa na ya kisasa tena yenye mvuto, sehemu yoyote unaiweka na ukawa wa kisasa, bei ni laki nane. Sasa wewe sijui umeweka nini hiyo ya sido?


Mi nauza mashine siuzi mvuto wa mashine,kama.ni ya SIDO piga kimya jombaa
 
Ina maana tangazo langu hamlioni au!!!!Khaaaaaaaa
 
Habari wanajamii.
Nina mashine ya kukamulia miwa naiuza kwa pesa za kitanzania 800,000/=.Mashine ipo ktk hali nzuri,ipo maeneo ya Dar Mbagala kwa atakaehitaji kuiona.Mawasiliano 0789 780 200,huruhusiwi ku beep.
Pictures are coming soon...
Nawasilisha.
Ni ya umeme au ya kawaida?

Sent from mTalk
 
Kuna mashine mpya kabisa na ya kisasa tena yenye mvuto, sehemu yoyote unaiweka na ukawa wa kisasa, bei ni laki nane. Sasa wewe sijui umeweka nini hiyo ya sido?
Duu hizo mashine mpya Kwa laki nani wapi mkuu? Mbona sijawahi Ziona?

Sent from mTalk
 
Back
Top Bottom