Kiwanja kinauzwa

Kiwanja kinauzwa

msonganzila

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2016
Posts
204
Reaction score
106
Karibuni kiwanja kinauzwa Msasani,Sqm 14920 kinafaa kwa Hotel....
Kwa mawasiriano zaidi:-
0715-011022
1486133089210.jpg
1486133109862.jpg
 
Hapo ukutani, maandishi mekundu yanasemaje?
 
Usd mil 4 wakati ukienda Manhattan hizo mil 4 unanunua majengo 3 na kubakiza chenji..madalali mna ukichaa wa ajabu kweli
 
Mita 60 unajenga Hotel gani???? Na wala hazitimii hizo square metres ulizosema hapo......et 4million USD



Acha utani aseee...labda unasemea 4million tshs
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom