Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari za kazi wakuu.. Nauliza kama kuna machine yoyote ndogo ambayo itanisaidia kufanya palizi shambani. Naona nguvu kazi imekuwa ndogo na kazi haziishi kwa wakati. Kama kuna kifaa chohote...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Nauza screen ya HP lapto 2000
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habarin wakuu. ..nauza Gari aina ya rava4 kilitime kwa bei mil.13 mazungumzo yapo
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Tunatafuta CREATIVE Fundi Nguo, kushona magauni ya Red Carpet Events and magauni harusi na ngua za kazi, uniforms na ningine. Tunahitaji FUNDI nzuri sana na experience kama miaka 6 au 7. Naomba...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Gari inauzwa ipo katika hali nzuri sana, imelipiwa vibali vyote na vitaisha July mwaka huu. Ina bima kubwa na haijawahi kupata ajali. Imefungwa alarm system na ina remote mbili, ina tairi la...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu. Kuna mashamba mawili yanauzwa KILAPULA,ni KM 20 kufika Tanga mjini. (a) Eneo lina ukubwa wa hekari 5,lipo kandokando mwa barabara kuu/lami ya Tanga to Muheza Lina ofa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
iko kwenye hali nzuri iko dar es salaam bei 950000 picha
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Habari JF, Hii mashine inauzwa, ni mashine ya kutengenezea chakula cha pellet (pellet machine) Inauwezo wa kutoa pellet ngumu,na inazalisha Tani 1 kwa saa. Bei ni Milioni 10 Ninapatikana Binju...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wadau, Hii seti makochi na meza inauzwa Tsh 700,000/= tu Zipo Tanga karibu na magereza maweni Kwa anaehitaji anicheko kwenye no yangu Mawasiliano yangu 0717423882
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Kama kichwa kinavyojieleza Nina uza bidhaa tajwa apo juu nipo vinapatikana bunju Vyote 250,000/= 0652482782 Bei imeshuka wadau karibuni mzigo bado upo
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF, Kuna laptops kutoka China nimeziona Alibaba jumla ya mzigo ninaohitaji ni US $ 336, uzito ni 4.9 Kgs. Kwa mwenye uwelewa au uzoefu anisaidie kunifahamisha makadirio ya...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Bei milion 7.5 0654314066
1 Reactions
29 Replies
7K Views
Nahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya Morogoro rd kuanzia Ubungo Maji mpaka Kimara Mwisho maeneo hayo. Vyumba Viwili na sebule, pamoja na jiko. Chumba kimoja kikiwa ni master itakuwa vizuri zaidi...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, kuna mtu anazo shilingi za zamani anauza zipo sh 20, sh 5, senti 5, senti 20, senti 10, senti 50 na sh 1 Vp tunaweza kupata mtu anayehitaji?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
iPhone 5s, 16gb, from USA for sale. Goes at 450000, negotiations allowed. Color: black, silver, white.
0 Reactions
1 Replies
570 Views
Ni mpya haina shida yoyot ile nimeitu siku mbili tu ni portable unawez kuhama nayo popote pale No horsepower 1.5 ubarid wake ni mkali sana pia ni automatic kuzima na kuwasha kutokana na ulivyo...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari zenu wana JF ,,Leo nimeona Bora Niwasambazie na nyie Offer hii Baada Ya Kuiweka na Kupatana.com ,,, sifa za Kiwanj 1.Kimezungukwa na Makazi Ya watu 2.Kina Hati miLiki 3.Kipo karibu na...
0 Reactions
0 Replies
696 Views
Kwa mara nyingine tena, napenda kuwataarifu wapenzi wa vitabu vya riwaya kuwa sasa Kitabu ca PESA ZAKO ZINANUKA kinapatikana kwa bei ya shilingi 10,000 tu. Unaweza kupata Posta mpya, mkabala na...
1 Reactions
17 Replies
8K Views
Natafuta simu tajwa hapo juu mwenye nayo plz bei ni makubaliano nawasilisha.....!
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Mwalimu wa sekondari wa shule iliyopo manispaa ya Iringa anaomba kubadilishana kituo cha kazi na mwalimu aliye Dar, hasa manispaa ya Ilala. Ikiwa ungependa kuhamia Iringa mjini please ni Pm kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom