Bado kuna ajira,mshahara hautoshi na hujui utaongezaje kipato

madefeli

Member
Nov 19, 2016
7
0
HEBU JITAFAKARI JE UMEANDIKIWA KUISHI MAISHA UNAYOISHI SASA HUYU KAKA Anaitwa Hassim Orison Shayo,ni Senior manager wa Oriflame
alianza Oriflame tareh 6/6/2016 Yaani mwaka Jana.. Ana miezi takribani sita Leo hii ni senior manager na Oriflame na anatumaini mpaka kufikia mwezi wa sita mwaka huu 2017 atakuwa director Ambaye aliefungua kuwa Gold director akianza na maisha yake ni kijana alie kuwa akiishi maisha magumu Sana.. Amefanya vitu vingi Sana bila ya matokeo yeyote.. Akafika Mahala akabuni biashar ya mboga ya majani Aina ya kisamvu, wangapi wanakifahamu kisamvu aliuza kisamvu takribani miezi mitatu mfululizo.. Jua lake, mvua yake na fedhea zote zangu lkn hakuvunjika moyo cos alikuwa anahitaji kutoboa ingawaje biashar alokuwa akifanya Haina future kifupi Sio biashar ya kutoboa akapewa fursa ya oriflame na wakati huo alikuwa na 15000/=tu mfukoni coz kisamvu kilikuwa hakilipi zaidi ya kuumia tu.. Lkn alijiuliza kisa hana mtaji ndio ashindwe kufanya oriflame haiwezekani kikubwa amepewa kitabu(catalogue) lazma akitangaze kitabu ili apate oda najua nikipata oda ya NovAGe siwezi kuiacha Cash profit 55000/= pesa ya kuchukulia hiyo novAge ntabumba bumba mambo kwa ndug jamaa marafiki ntapata tuu..
Ndipo akaanza kuimairika kiuchumi siku hadi siku, nami nikawa nashirikisha biashar watu.. Akawa anaendelea kupaa ktka biashar yake mpaka Leo hapo alipo.. Kwa sasa kipato chake ni zaidi ya million anategemea mpaka mwezi wa sita kipato chake kwa mwezi kuongezeka mpaka kufikia million 2.5 je kisingizio chako ni nini unaposhirikishwa fursa muhimu bado hujachelewa whatsap/text 0653660318 kujifunza fursa hii ya oriflame badili vipodozi kuwa pesa.
 

Attachments

  • IMG_20170215_212726_753.jpg
    IMG_20170215_212726_753.jpg
    59.2 KB · Views: 25
HEBU JITAFAKARI JE UMEANDIKIWA KUISHI MAISHA UNAYOISHI SASA HUYU KAKA Anaitwa Hassim Orison Shayo,ni Senior manager wa Oriflame
alianza Oriflame tareh 6/6/2016 Yaani mwaka Jana.. Ana miezi takribani sita Leo hii ni senior manager na Oriflame na anatumaini mpaka kufikia mwezi wa sita mwaka huu 2017 atakuwa director Ambaye aliefungua kuwa Gold director akianza na maisha yake ni kijana alie kuwa akiishi maisha magumu Sana.. Amefanya vitu vingi Sana bila ya matokeo yeyote.. Akafika Mahala akabuni biashar ya mboga ya majani Aina ya kisamvu, wangapi wanakifahamu kisamvu aliuza kisamvu takribani miezi mitatu mfululizo.. Jua lake, mvua yake na fedhea zote zangu lkn hakuvunjika moyo cos alikuwa anahitaji kutoboa ingawaje biashar alokuwa akifanya Haina future kifupi Sio biashar ya kutoboa akapewa fursa ya oriflame na wakati huo alikuwa na 15000/=tu mfukoni coz kisamvu kilikuwa hakilipi zaidi ya kuumia tu.. Lkn alijiuliza kisa hana mtaji ndio ashindwe kufanya oriflame haiwezekani kikubwa amepewa kitabu(catalogue) lazma akitangaze kitabu ili apate oda najua nikipata oda ya NovAGe siwezi kuiacha Cash profit 55000/= pesa ya kuchukulia hiyo novAge ntabumba bumba mambo kwa ndug jamaa marafiki ntapata tuu..
Ndipo akaanza kuimairika kiuchumi siku hadi siku, nami nikawa nashirikisha biashar watu.. Akawa anaendelea kupaa ktka biashar yake mpaka Leo hapo alipo.. Kwa sasa kipato chake ni zaidi ya million anategemea mpaka mwezi wa sita kipato chake kwa mwezi kuongezeka mpaka kufikia million 2.5 je kisingizio chako ni nini unaposhirikishwa fursa muhimu bado hujachelewa whatsap/text 0653660318 kujifunza fursa hii ya oriflame badili vipodozi kuwa pesa.
Huyu jamaa amekua senior manager kwenye kumanage nin?

Hii biashara sawa na Forever Living tu, no difference you need a lot of energy
 
Mna kosea kuchukulia bahati ya mtu kama formula ya kufanikiwa bila kujifunza kwanza ugumu alio pitia na namna ya kuvuka!

Nasema ivi mafanikio hayaji kirahisi sana kama tunavo yasoma!.
Kabla ya kufikia mafanikio kuna changamoto nyingi sana na ata ukizivuka sio guarantee ya kufanikiwa.

Kwa uzoefu wangu wa kutafuta naamini hivo!
 
Back
Top Bottom