kwa yoyote anayehitaji simu nauza Samsung galaxy Ji one ace kwa laki mbili bado mpya ina miezi miwili tu tokea niinunue na haina tatizo.anaeitaka tuwasiline
NDGU MWANANCHI,MFANYABIASHARA UNAKARIBISHWA KUTANGAZA BIASHARA YAKO ISIKE KOTE DUNIANI KUPITIA MPANDA RADIO FM ILIYOKO MKOANI KATAVI.
TANGAZA NASI UPATE WATEJA WENGI POPOTE ULIPO TUNAKUHUDUMIA...
Za jioni wadau kam title inavyojielezea nauza Laptop aina ya samsung mini ina charger yake kwa bei ya 200000 maelewano yapo. Kwa mawasiliano zaidi 0712220207 au 0742194328
Habari za saa hizi humu ndani?
Naomba kupatiwa msaada wa mapendekezo ya bustani nzuri inayofaa kwa ajili ya sherehe ya harusi. Ninatarajia kufunga harusi na kuwa na wageni wasiopungua 400...
Hello friends, hivi mnafaham kuwa mbwa ni mlinzi mwaminifu wa kweli na unapotumia mbwa mwenye mafunzo unakuwa umeongeza uhakika wa usalama wako Mara dufu kuliko kutumia Masai au binadam yeyote...
Mashine za kutengeneza mkaa wa kisasa za manual yaani unatumia mkono zinapatikana. Bei inatofautiana kutokana na size ya mashine. Ila ndogo kabisa inaanzia sh. 50,000 inayoweza zalisha gunia...
Ina Vyumba vitatu kimoja kina choo chake
Sebule+dinning +Jiko+choo cha public+full tiles na gypsum
Maji safi+umeme+fence lenye geti
_______________________
Tank za kuhifadhi Maji
IPO kisiwani...
Inauzwa 4.8 mln(fixed)kwa mwenyewe ambaye ni mmiliki haidaiwi vibali tatizo lake ni gas ya ac imeisha ni ya kujaza passo ni ya piston 4 kwa mawasiliano piga simu 0715591141 nku link na muuzaji...
Wadau hiyo gari ipo sokoni, ipo kwenye condition nzuri, inatembea. Ina radio FM, air condition safi, ABC safi na kwa hakika hutojuta kuinunua. Bei inanzia 4.5, maelewano yapo. Kwa serious buyer...
Nyumbani technology wanakuletea huduma zifuatazo
1. Website designing and blogs designing
2. SEO setting (make your site popular
3.Tunauza traffic Kwa sites na you tube videos
4. Tunakusetia...
Kutoka Bongo5.com
Kama umekuwa ukitafuta simu kali ambayo itakuwezesha kufanya mambo mengi bila kuhitaji kuichaji mara kwa mara basi “Tecno Mobile” wanakusogezea hii inaitwa Tecno L9 Plus, simu...
Hello friends, hivi mnafaham kuwa mbwa ni mlinzi mwaminifu wa kweli na unapotumia mbwa mwenye mafunzo unakuwa umeongeza uhakika wa usalama wako Mara dufu kuliko kutumia Masai au binadam yeyote...
Haya ni maeneo ya kinondoni mtaa wa ufipa tukijiandaa kuchimba kisima kwa bei rahiiisi kabisa
Jina la kampuni ni Tawa water proffesional
Namba ya simu ni 0655 541948