Wakuu habari za mida
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, nahitaj piki piki (boxer) iwe kwenye hali nzuri ...bei=maelewano
Mwenye nayo WhatsApp/call 0622070789 au dondoka hapa chini
Wakuu Asylum Aleku
Nauza nyumba ipo mbezi msakuzi dsm
Ina vyumba vitatu, 1master, public toilet
Ukubwa wa eneo robo heka na zaidi
Nyumba ina tiles yote, bati m'south
Kuna hati ya makazi...
Habari wana JF kwa yoyote aliemaliza Diploma au Certificate ya Information Technology au inaofanana na hiyo anaeishi Dar Es Salaam na hajapata kazi naomba awasiliane moja kwa moja 0712 212 220...
Wana bodi,
Nina eneo Dar lenye ukubwa wa heka moja, lipo mwasonga kigamboni, nimehamia Dodoma kama sehemu ya mpango ya uhamishaji wa shughuli za serikali kutoka Dar kwenda Dodoma...naomba mwenye...
wakuu mambo vipi
nauza shamba langu la ukubwa wa hekari moja plus liko mkuranga mbele ya Hospitali ya wilaya ya mkuranga shamba liko karibu kabisa na barabara kuu
bei yangu ni million sita cash...
Habari wanaJF napenda kuwajulisha kuwa tunatoa huduma za Accounting services (VAT returns, Trial Balance, stocking) kwa makampuni au maduka ya watu binafsi. Kwa maelezo zaidi au maswali ni cheki...
Habari wadau!
Nauza shamba, lipo katika kijiji cha Kisande karibu na kwa Mtoro wilaya ya Nchemba zamani ilikuwa sehemu ya wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma. Shamba Lina ukubwa wa ekari 5. Linafaa kwa...
Habari zenu wapendwa, matumaini yangu kuwa hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kusukuma gurudumu la maisha.
Nisingependa kuweka personal life yangu hapa, sema imenibidi kulingana na hali halisi...
Hii ni habari njema kwako wewe mfugaji wa kuku, nguruwe, mbuzi, ng'ombe n.k
H-Fodder (Hydroponic Fodder) ni chakula kwa ajili ya mfugo aina mbalimbali chenye virutubisho vingi vinavyohitajika...
metre 36 kwa 70 nusu heka kipo KAWAWA barabara ya masister nyuma ya Anwarite girls sec metre 197 juu y kutoka ilipo lami ya Moshi Dar kina hati ya kimila
offer 12mill
negotiable
0621068486...
Habari wadau!
Nauza shamba, lipo katika kijiji cha Kisande karibu na kwa Mtoro wilaya ya Nchemba zamani ilikuwa sehemu ya wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma. Shamba Lina ukubwa wa ekari 5. Linafaa...
habari wana jf!
Leo ninawaletea sanaa ya kupaka rangi ukuta kwa kutumia patterns na kuuachaa ukuta wako unapendeza zaidi ya wallpapers.
Utahitaji rangi tu na stencils ambazo sisi tunazo...
Poleni kwa majukumu wakuu,
Kwa wale wafugaji na waandaaji wa vyakula vya mifugo,
uduvi unapatikana, kwa taarifa zaidi wasiliana kwa hii namba 0764323820
Make : Toyota
Model : Harrier
Mileage : 123,000km
Engine size: 2200cc
Gasoline : Petrol
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Automatic
M/Year : 2000
Doors : 5
Seats ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.