Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta Tangawizi kavu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari humu wana jf me nipo hapa kilosa mjini nafuta halotel mobile na ile ya mezani. naomba nijulishwe mahali zilipo hapa kilosa ili nikanunue. nipewee bei zake
0 Reactions
6 Replies
902 Views
Kama kichwa kinavyojieleza. Nina laki 3 na nusu 350,000/= ninahitaji tv used 32 inches lg ama samsung led tv. Pesa cash iko mkononi. Address; Mbagala, DaresSalaam
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Jamani hebu nisaidieni kufahamu bank inayotoa mikopo kwa masharti nafuu hasa kwa sisi wanafunzi tuliomaliza chuo tunaotaka kujiajiri.
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari Wapendwa wote mlioko sehemu zisizo na umeme au ni Gharama kuvuta au Kwa tatizo lolote. Vodacom ikishirikiana na mkopa solar Tz Ltd inatoa umeme wa solar system ambayo ina taa maalumu 4 ina...
2 Reactions
7 Replies
7K Views
Habari wakuu kampuni ya one2onefocus limited inayohusika na ujenzi wa nyumba za garama nafuu kuanzia mil 32 tu . Pia inahusika na upimaji wa viwanja Mambo ya kuzingatia kabla ya kuleta maombi ya...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Nakodisha projector aina ya Acer bei tsh 50,000/= kwa siku.Kwa mawasiliano piga simu namba 0714400422.Karibuni wote.
0 Reactions
2 Replies
809 Views
Nahitaj chumba chumba chenye choo ndan kwa ndan kwa eneo la Dar....Mwenye kuuweza fahamu achukue udalali huu. mawasiliano namba 0716278289
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key).kwa magari aina zote yaani TOYOTA,VW,BMW,FORD nk. Kama unahitaji funguo ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu kwema? Naomba bei ya kioo cha nyuma cha toyota runx tufanye biashara
0 Reactions
0 Replies
2K Views
MTOTO ALIYEPOTEA AMEPATIKANA MLANDIZI KIBAHA JINA: MWANAIDI ADHULAH RAMADHANI, UMRI: MIAKA 15 JINSI: KE ANAKOTOKA: ANDENI TANGA KIJIJI CHA ANDENI BONDENI... ALIKO SASA : MLANDIZI KIBAHA KWA...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Please kwa watu wa Dar nilikuwa nahitaji chumba na choo cha ndani(self) mwenye kufahamu tuwasiliane asimamie ya udalali.0716279299
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Wadau wa kuuza simu kali kuanzia laki sita na kuendelea, nawashauri muanze kuingia mikataba ya mauziano kwa muda maalum na wateja , Namaanisha badala ya mtu kutoa cash badala yake anunue kwa mkopo...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Kina ukubwa wa hatua 25x25, Kipo kwenye makazi ya watu, miundo mbinu yote iko vizuri, umeme umefika, Bei ni Milioni nane (8,000,000/) na maongezi meeeeengi. Mimi ndo mmiliki nahitaji hela faster...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa wanaohitaji maeneo Yoyote kigamboni Iwe kwa kampuni na mtu Binafsi kupangisha Au kununua, tafadhari wasiliana nasi madalali kwa simu namba 0718295182 Jukumu letu ni kukutafutia eneo...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nauza modem ya Vodacom K3772-Z 1 month used kwa sh 22,000 bei maelewano.
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Kiwanja chenye ukubwa wa hekari 1.5 kinauzwa kiko Musoma eneo la Makutano kwa anaepafahamu so kwa alietayari anicheki kupitia 0764339400 au 0625774881 bei sh2.5M ila punguzo lipo kwa ataehitaji...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
nataftu mtumishi wa kubadilishana nipo bumbuli tanga.kada afya 0766256865
0 Reactions
2 Replies
663 Views
Iwe na hali nzuri Nchi 4.5 Nipo Iringa KESHO
1 Reactions
4 Replies
795 Views
Back
Top Bottom