habari humu wana jf me nipo hapa kilosa mjini nafuta halotel mobile na ile ya mezani. naomba nijulishwe mahali zilipo hapa kilosa ili nikanunue. nipewee bei zake
Kama kichwa kinavyojieleza.
Nina laki 3 na nusu 350,000/= ninahitaji tv used 32 inches lg ama samsung led tv.
Pesa cash iko mkononi.
Address;
Mbagala, DaresSalaam
Habari
Wapendwa wote mlioko sehemu zisizo na umeme au ni Gharama kuvuta au Kwa tatizo lolote. Vodacom ikishirikiana na mkopa solar Tz Ltd inatoa umeme wa solar system ambayo ina taa maalumu 4 ina...
Habari wakuu kampuni ya one2onefocus limited inayohusika na ujenzi wa nyumba za garama nafuu kuanzia mil 32 tu . Pia inahusika na upimaji wa viwanja
Mambo ya kuzingatia kabla ya kuleta maombi ya...
Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key).kwa magari aina zote yaani TOYOTA,VW,BMW,FORD nk. Kama unahitaji funguo ya...
Wadau wa kuuza simu kali kuanzia laki sita na kuendelea, nawashauri muanze kuingia mikataba ya mauziano kwa muda maalum na wateja ,
Namaanisha badala ya mtu kutoa cash badala yake anunue kwa mkopo...
Kina ukubwa wa hatua 25x25, Kipo kwenye makazi ya watu, miundo mbinu yote iko vizuri, umeme umefika, Bei ni Milioni nane (8,000,000/) na maongezi meeeeengi. Mimi ndo mmiliki nahitaji hela faster...
Kwa wanaohitaji maeneo Yoyote kigamboni Iwe kwa kampuni na mtu Binafsi kupangisha Au kununua, tafadhari wasiliana nasi madalali kwa simu namba 0718295182
Jukumu letu ni kukutafutia eneo...
Kiwanja chenye ukubwa wa hekari 1.5 kinauzwa kiko Musoma eneo la Makutano kwa anaepafahamu so kwa alietayari anicheki kupitia 0764339400 au 0625774881
bei sh2.5M ila punguzo lipo kwa ataehitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.