KIWANJA KIZURI KINAUZWA

KIWANJA KIZURI KINAUZWA

Chambuso2017

Member
Joined
Feb 14, 2017
Posts
50
Reaction score
22
Kipo Madale Flamingo barabara inayokwenda Kwetu Sekondari, ni eneo lililopimwa kwa makazi ya watu. Hakijakatiwa hati bado, Kina ukubwa wa hatua 25x30. Kinafikika kirahisi kwa gari na umeme umefika. Bei Tsh 6.7M. Kwa maelezo zaidi nicheki PM.
 
Ohoooo!!!mkuu naona umeirudia hii post inamaana watu hawapendi kukaa karibu na ikulu ya "WCB"
 
Kipo Madale Flamingo barabara inayokwenda Kwetu Sekondari, ni eneo lililopimwa kwa makazi ya watu. Hakijakatiwa hati bado, Kina ukubwa wa hatua 25x30. Kinafikika kirahisi kwa gari na umeme umefika. Bei Tsh 6.7M. Kwa maelezo zaidi nicheki PM.
Kipime tena kwa mita mkuu,
Hizo hatua hatujui alipima mtu mrefu au mfupi vipi
 
Back
Top Bottom