Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Je wewe ni kijana na hauna ajira na una ndoto za kujiajiri GS POWER INSTALLATION LTD ikishirikiana na KENVISION kutoka Nairobi pamoja na wadau mbalimbali wa CCTV wanakuletea mafunzo ya CCTV CAMERA...
0 Reactions
1 Replies
902 Views
Nyumba ipo Kongowe kibaha ina vyumba 2 kila chumba na choo yake iliyokamilika. Kuna kiwanja kuendeleza ujenzi Bei ni million 15 Bei ndogo kulingana na hali mbaya ya mdololo wa kiuchumi Ukubwa...
0 Reactions
119 Replies
12K Views
Asante kwa kusoma uzii huu kwako wewe mwanajamii forum Nauza nguruwe kwa ajili ya kuchinjwa wapo kumi na tatu, Wapo Marangu mamba mkoani Kilimanjaro, Wanauzito kuanzia kilo 54 mpaka kilo 69,bei...
0 Reactions
0 Replies
811 Views
Jipatie jiko bora na imara la gas one plate kwa Tshs 50,000/=. Call: 0659782778
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Chekiana na mimi Tumeingiza mzigo wa bidhaa za used na Mpya, Electronics, electrical, Na vifaa vya muziki... Mzigo utatumiwa kokote Tanzania.
0 Reactions
55 Replies
5K Views
Kwa wanafunzi wa advance na college nauza kitabu cha biology....karibu nipigie kwa namba 0717 550291
1 Reactions
16 Replies
2K Views
"KWA GAMERS" Kwa wataalamu wa I T au ata yeyote mwenye nia ya kufanya biashara ya games online nauza wazo la biashara
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Vunja Bei Matelephones. Tunauza Laptops mpyaa na Tablets za kisasa, original full accessories kwa Punguzo la 30% LAPTOP. Brands zilizopo ni Dell, HP, Toshiba, Acer, Assus & Sony. Kuanzia Duo...
2 Reactions
82 Replies
12K Views
Habarini. Natafuta soko la maziwa nipo Dodoma lita 500 kila siku asubuhi bei 1500/- kila lita mawasiliano 0683670160
0 Reactions
25 Replies
54K Views
Wadau nauza maeneo yanayofaa kwa makazi cheka kigamboni kama ufuatavyo; Heka moja-Tsh 15m Nusu heka-Tsh 7m 20*20-milion 3.5 Maeneo haya yote hayako mbali sana na main road. Serious buyer nitafute...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna eneo linauzwa maeneo ya dege kigambon ambalo lina ukubwa wa 30*25. Ni jiran na magorofa ya dege mkono wa kushoto kama unaelekea beach ya kichangani. Ni eneo zur ambalo utalipenda mnunuzi. Bei...
0 Reactions
4 Replies
970 Views
Wakuu napangisha chumba na sebule pia kina jiko lake na choo chake dak 5 toka mliman city. Kwa mwezi lak 2 hakuna dalal. 0713401812.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
“Nataka rehema na wala si sadaka” (Mt. 9:13).
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Anatafutwa mtaalam wa kuandaa pizza, sandwich, burger, nk. kwa kiwango cha hali ya juu. Awe tayari kuishi mkoani maana ndiko biashara inakotarajiwa kufunguliwa . (makao makuu ya mkoa fulani...
0 Reactions
0 Replies
653 Views
Nauza simu aina ya Microsoft Lumia 535 imetumika kidogo bei 150,000. Anayehitaji anitumie ujumbe inbox.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kiwanja kinauzwa sumbawanga.mita 20 kwa 30.kipo pande za TTC kwa juu bei maelewano.maelezo zaidi nicheki kwa 0766256865
0 Reactions
2 Replies
603 Views
Nimesoma maelezo kwenye mtandao husika, wameandika kuwa inatumia electricity. Je, is it reliable kwa mazingira yetu ya hapa bongo? Mtu mzoefu naomba anisaidie
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Kipo Madale kwa Kawawa, kilometer moja kutoka Barabara ya Madale ilipo nyumba ya Mzee Kawawa. Kina ukubwa wa hatua 25x25. Kipo kwenye makazi ya watu na kina nafasi za kutanuka kulia na kushoto...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari, Husika na kichwa cha habari hapo juu. Napatikana Dar na nlikua nahitaji miche michache kwa ajili ya kupanda nyumbani kwangu japo nipate matunda toka nyumbani. Naomba msaada wa kujua wapi...
0 Reactions
0 Replies
803 Views
Ndugu zangu, Kwa jina naitwa Fabian,umri wangu ni miaka 30 nipo mkoa wa Dar es salaam,elimu yangu ni taaluma ya teknolojia ya habari ngazi ya cheti tu,kutokana na kukosekana kwa ajira hapa kwetu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom