Habari wakuu;
Hapa naongelea zile silver wanazopenda kuvaa dada zetu_
Pia na wale wanaume wanaojipenda na kwenda na wakat
Inshu sio silva iliyotengenezwa
Bali ni ule uchafu unaopatikana baada ya...
Kwa wale wenyeji wa wilaya ya Bunda hasa eneo la Bunda mjini au karibu na Bunda mjini nahitaji shamba au kiwanja Kwa ajili ya Makazi na kilimo,hata maeneo ya Nyamuswa sio Mbaya, msaada wenu tasavali.
Habari wakuu,
Nahitaji kujua ni wapi naweza kupata wanunuzi wa hizo mbegu tajwa hapo kutokana na umuhimu wake kwani imekuwa ikitumiwa kutengeneza bidhaa nyingi ikiwemo oil za magari, dawa...
Airtel acheni kutudanganya na mb 100 za YouTube bure. Inakera kuona kuona unadanganywa waziwazi maana tukiwa YouTube izo mb hazitumiki inatumika mobile data ya kawaida, tuomba mtueleze ukweli sio...
Connect Your Phone Via Bluetooth/Wi-Fi,Insert USB Drive(External HDD,Flash Disk), SDCard
#Rechargable
Accessories
•Control Remote
•Mount Stand
Price 600k
0777713267
Natafuta kiwanja kilichopimwa kama ifuatavyo;
Ukubwa sqm 1,000 hadi 1,500
Eneo liwe bunju, ununio, boko au salasala
Kisiwe katika mkondo wa maji
Kisiwe na mgogoro
Nyaraka ziwepo, tutaenda...
Inauzwa Macbook Pro Os 10 Version 10.8.5
Processor 2.53 Ghz Intel Core i5
Memory 4GB 1067 MHz DDR3
Hdd 500Gb
Used
Haina battery. Charger ipo na inafanya kazi vizuri. Ukihitaji na battery tunaweza...
Afya njema ni moja kati ya vitu muhimu sana kwa mjasiriamali. Ni muhimu kujua jinsi ya kulinda, kuboresha na kurejesha afya yako ili ufanye kazi vizuri.
AFYA ZAIDI CONSULTANTS wanakusaidia kwa...
Wadau,kwa mwenye kufahamu ni wapi linapatikana soko la magamba ya konokono (shells)wadogo Wa Ziwa Victoria.Wasindikaji Wa vyakura Vya mifugo nadhani mnaweza kuwa na taarifa.
Wana jf,
Niseme kwamba kuna wapenzi, kuna waliooana au waliopo kwenye mahusiano pindi wakiwa wamelala wengine hugeukia ukutani au upande mwingine kwa sababu mwenza akipumua hewa inayotoka puani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.