Natafuta chumba cha kupanga dsm

f de solver

JF-Expert Member
Feb 12, 2017
2,339
1,834
Jaman nisaidien natafuta chumba maeneo ya taifa ila isiwe keko....yaaan iwe maeneo ya taifa au kurud nyuma Barbara kama unakuja ubungo ....
 
habarin ndugu???.....natafuta chumba eneo LA ubungo river side....kutokana na uchumi angalau kiwe cha bei Kati ya 50-60 elfu....no...0743282756
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom