Karibu kwenye mafunzo ya ujasiriamali na masoko utafundishwa utengenezaji wa sabuni ya unga na sabuni ya maji, sabuni ya mche, kutengeneza mshumaa, kutengenenaza purfume, kutengeneza shampoo...
Iwe single cabin model ile ya 2.8
Namba yoyote,gari iwe inatumia disel,gari iwe nzimaa
Offre ya mnunuzi ni mln 8 mpk 9mln
Kama kuna mtu anayo au anamfahamu mtu ambaye anayo tuwasiliane...
Habari wana jf, sisi tunajihusisha na masuala ya uchimbaji wa visima kwa ajili ya umwagiliaji wa mashambani,kwa matumizi ya nyumbani au hata kwa biashara na bei zetu ni shillingi 70000 kwa mita...
Hello friends, hivi mnafaham kuwa mbwa ni mlinzi mwaminifu wa kweli na unapotumia mbwa mwenye mafunzo unakuwa umeongeza uhakika wa usalama wako Mara dufu kuliko kutumia Masai au binadam yeyote...
Habari,
Nauza kiwanja Eneo la Bagamoyo Kiromo sio mbali na barabara kuu ya Bagamoyo ( kama mita 300 kutoka Bagamoyo Road), ukubwa wa kiwanja ni robo heka, Bei yake ni sh milioni 5.5.
Kwa...
Kama wewe ni producer na unahitaji sehemu/studio kwa ajili ya kufanya kazi zako za music (gospel tuu) tuwasiliane kwa kupitia (pm)
kwa mazungumzo zaidi.
Kwema?
Lipo gari aina tajwa hapo juu linauzwa. Bado lina hali nzuri isipokuwa mtumiaji ameshindwa kumudu gharama za mafuta usawa huu.
Kwa muhitaji, anaweza wasiliana nami moja kwa moja tukafanya...
kwa yoyote anayehitaji simu nauza Samsung galaxy Ji one ace kwa laki mbili bado mpya ina miezi miwili tu tokea niinunue na haina tatizo.anaeitaka tuwasiline
NDGU MWANANCHI,MFANYABIASHARA UNAKARIBISHWA KUTANGAZA BIASHARA YAKO ISIKE KOTE DUNIANI KUPITIA MPANDA RADIO FM ILIYOKO MKOANI KATAVI.
TANGAZA NASI UPATE WATEJA WENGI POPOTE ULIPO TUNAKUHUDUMIA...
Za jioni wadau kam title inavyojielezea nauza Laptop aina ya samsung mini ina charger yake kwa bei ya 200000 maelewano yapo. Kwa mawasiliano zaidi 0712220207 au 0742194328
Habari za saa hizi humu ndani?
Naomba kupatiwa msaada wa mapendekezo ya bustani nzuri inayofaa kwa ajili ya sherehe ya harusi. Ninatarajia kufunga harusi na kuwa na wageni wasiopungua 400...
Hello friends, hivi mnafaham kuwa mbwa ni mlinzi mwaminifu wa kweli na unapotumia mbwa mwenye mafunzo unakuwa umeongeza uhakika wa usalama wako Mara dufu kuliko kutumia Masai au binadam yeyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.