Salaam wadau wa jukwaa hili.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo, linahitajika shamba kwa ajili ya kilimo cha mpunga maeneo ya Moshi au Manyara. Linawezakuwa linalokodishwa au linalouzwa...
iphone 6plus mpya inauzwa kwa bei nafuu tshs 950,0000
haijwai kutumika unaanza kuitumia ww
kwa mawasiliano zaidi ni text whtaspp
samahana kuna shida ya mtandao kidogo picha zinasumbua ku upload...
Eneo liko mikese-morogoro limetawaliwa na MAWE tupu yanayofaa kwa uzalishaji wa MAWE, kokoto na changalawe znazofaa kwa ujenzi wa majumba na barabara! Mawasiliano nichek 0713768959
Nauza desktofull kioo nchi 18. Ram 4gb hdd 500 ipo katika hali nzuri nilinunua kwaaajili kufanyia biashara ya stationery lakin eneo si rafiki.kwa biashara hii sasa na kubadilisha biashara niuze...
Sallam wana jamvi..ndugu zangu nina hitaji la kontena lenye urefu wa futi araboaini maeneo ya Dodoma mjini anijulishe offer yangu million 4 ..
Kwa maelezo na nawasiliano anijulishe kwa...
CCC LTD , Ni kampuni inajishulisha na uendelezaji Makazi , Upimaji na uuzaji wa Viwanja,
#pia tunashughulika na ushauri wa biashara mbalimbali na utafutaji na uwezeshaji wa FURSA mbalimbali kama...
Hii ni nyingine baada ya ile kuuzwa,
Lenovo G40, ram 4gb, hdd 500GB, processor i3 imetumika ila sio sana na ipo katika hali nzuri kabisa. Bei 360,000 ukiwahi unapata zawadi ya mouse bure na bei...
NI AINA YA HUAWEI G9...NI MPYA HAIJAWAHI TUMIKA...
spec zake ni kama ifuatavyo---
Android-6.0 marshmallow
Camera-13 megapix
Screen yake-5.2"
Battery capacity ni 3000mAh
Ram-3gb
Internal...
Habari za wakati huu JFs.
Kwa wale wakazi wa Mwanza, wahitaji wa mayai ya jumla ya kienyeji kwa trey yenye mayai 30 kwa 12000.
Tuwasiliane 0769321005.
Mfahamishe na mwenzio
From Bukoba...
D.C.T house of creative ni watengenezaji na wauzaji wa viatu vya kimasai vya ngozi kwa jumla na rejareja.
Tunatengeneza viatu vya kike, kiume na watoto, viatu vya jumla vianaanzia pea 10...
Kwa mteja atakayeitaji sungura wa biashara anaweza wasiliana kwa namba izi 0718 04 02 08 bei zangu ni nafuu kuliko kwa wauzaji wengine sungura wapo salama kiafya na uzito unaoitajika kalibun .
kuku wako 60 wana miezi mi 5 wana afya nzuri mwezi ujao wanaweza anza kutaga kwa wachinjaji tetea wana kg 1 hadi moja na nusu jogoo 2kg---->>
nina wapunguza punguza ili niwatunze wengine...
Habarini za usiku wa Leo.kiwanja chenye title ya industrial kinauzwa kunduchi kama unaelekea bahari beach karibu na chuo cha usalama.kina sq m 7400.ambae atapenda kukiona au kujua bei anicheki
Javis internationa trade tumeongeza huduma ya tiketi za ndege kwa wateja wa ndani ya nchi na wateja wa nje za nchi kokote tunakata...piga 0769061198 ofisi zetu ziko jengo la ushirika lumumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.