Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Salaam wadau wa jukwaa hili. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo, linahitajika shamba kwa ajili ya kilimo cha mpunga maeneo ya Moshi au Manyara. Linawezakuwa linalokodishwa au linalouzwa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
iphone 6plus mpya inauzwa kwa bei nafuu tshs 950,0000 haijwai kutumika unaanza kuitumia ww kwa mawasiliano zaidi ni text whtaspp samahana kuna shida ya mtandao kidogo picha zinasumbua ku upload...
0 Reactions
1 Replies
611 Views
Eneo liko mikese-morogoro limetawaliwa na MAWE tupu yanayofaa kwa uzalishaji wa MAWE, kokoto na changalawe znazofaa kwa ujenzi wa majumba na barabara! Mawasiliano nichek 0713768959
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nauza desktofull kioo nchi 18. Ram 4gb hdd 500 ipo katika hali nzuri nilinunua kwaaajili kufanyia biashara ya stationery lakin eneo si rafiki.kwa biashara hii sasa na kubadilisha biashara niuze...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu wana jf naomba muongozo kwa anaejua soko la kambale na sato
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Sallam wana jamvi..ndugu zangu nina hitaji la kontena lenye urefu wa futi araboaini maeneo ya Dodoma mjini anijulishe offer yangu million 4 .. Kwa maelezo na nawasiliano anijulishe kwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
CCC LTD , Ni kampuni inajishulisha na uendelezaji Makazi , Upimaji na uuzaji wa Viwanja, #pia tunashughulika na ushauri wa biashara mbalimbali na utafutaji na uwezeshaji wa FURSA mbalimbali kama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Closed
Hii ni nyingine baada ya ile kuuzwa, Lenovo G40, ram 4gb, hdd 500GB, processor i3 imetumika ila sio sana na ipo katika hali nzuri kabisa. Bei 360,000 ukiwahi unapata zawadi ya mouse bure na bei...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
NI AINA YA HUAWEI G9...NI MPYA HAIJAWAHI TUMIKA... spec zake ni kama ifuatavyo--- Android-6.0 marshmallow Camera-13 megapix Screen yake-5.2" Battery capacity ni 3000mAh Ram-3gb Internal...
0 Reactions
1 Replies
914 Views
Kwa wauzaji wa nguo hasa singland au VEST aina ya CNT rangi iwe nyeupe zinahitajika size M. Nahitaji 12pcs. Niambie unapatikana wapi nakuja mwenyewe.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za wakati huu JFs. Kwa wale wakazi wa Mwanza, wahitaji wa mayai ya jumla ya kienyeji kwa trey yenye mayai 30 kwa 12000. Tuwasiliane 0769321005. Mfahamishe na mwenzio From Bukoba...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
D.C.T house of creative ni watengenezaji na wauzaji wa viatu vya kimasai vya ngozi kwa jumla na rejareja. Tunatengeneza viatu vya kike, kiume na watoto, viatu vya jumla vianaanzia pea 10...
1 Reactions
1 Replies
7K Views
Kwa mteja atakayeitaji sungura wa biashara anaweza wasiliana kwa namba izi 0718 04 02 08 bei zangu ni nafuu kuliko kwa wauzaji wengine sungura wapo salama kiafya na uzito unaoitajika kalibun .
0 Reactions
12 Replies
6K Views
kuku wako 60 wana miezi mi 5 wana afya nzuri mwezi ujao wanaweza anza kutaga kwa wachinjaji tetea wana kg 1 hadi moja na nusu jogoo 2kg---->> nina wapunguza punguza ili niwatunze wengine...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Misc Specifications. Processor Intel core i7 @2.8Ghz. Ram 8gb. (DDR 3/1333Mhz) Storage Hdd 750Gb. 13inc LCD screen. Intel Hd 3000 card graphics. Price Tsh 1,400,000. Excellent condition...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Bajet 60k,, iwe kwenye hal nzur tu. Serious sellers wanichek on 0653205817
0 Reactions
0 Replies
416 Views
nashusha kilometre za.magari na pikipiki kwa sh 100000 njoo pm kwa maelezo zaidi. karibuni wote
0 Reactions
60 Replies
7K Views
Habarini za usiku wa Leo.kiwanja chenye title ya industrial kinauzwa kunduchi kama unaelekea bahari beach karibu na chuo cha usalama.kina sq m 7400.ambae atapenda kukiona au kujua bei anicheki
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Javis internationa trade tumeongeza huduma ya tiketi za ndege kwa wateja wa ndani ya nchi na wateja wa nje za nchi kokote tunakata...piga 0769061198 ofisi zetu ziko jengo la ushirika lumumba...
0 Reactions
4 Replies
972 Views
Back
Top Bottom