Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wadau nanunua mayai ya kuku wa kienyeji(pure) mwenye nayo tuwasiliane! Nipo Dar es SALAAM
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu habarini. Naomba kujua betri gani ya gari dry cell ni bora zaidi maana naona zipo nyingi kama atlas,top power na led exide. Msaada wakuu kabla sijaingizwa mjini.
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Bei:350k 16 GB
0 Reactions
2 Replies
595 Views
Kichwa cha habari hapo juu cha husika. Mzigo uko mbagala. Bei 250k Rangi nyeupe. Bado ipo kwenye hali nzuri, ina glass protector. Cont: 0687 089980/watsap kwa picha, specs na biashara. Nawasilisha.
0 Reactions
2 Replies
868 Views
Tunauza mbao fupi za dawa zenye kudumu kwa muda mrefu na zisizo weza kushambuliwa na wadudu waalibifu Pia itakuepusha na utapeli wa futi kwani mbao hizi ni bora sawa na zile ndefu za kupima...
1 Reactions
0 Replies
652 Views
Kwenu wadau mliopo mbeya mjin nahitaji chumba cha kupanga maeneo ya forest mpya. mawasiliano yangu ni 0716134171. Nawasilisha.
0 Reactions
1 Replies
819 Views
Viwanja vikubwa kwa ajili ya Yard vinauzwa, Kizota Singida road. Bei kuanzia 150MIL na Kuendelea Ukubwa kuanzi Sqm 9000 na kuendelea. 0719 550577 0752 311476
0 Reactions
0 Replies
838 Views
Inauzwa on Asking Price : 29m Ipo Zanzibar. Haijawahi kuwa Daladala,ilikuwa Private Hire kwa ajili ya watalii Muuzaji anauza kwa kuwa ushindani wa gari bora zaidi kwenye utalii.Pia Driver hayupo...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Simu tajwa hapo juu inauzwa wadau ina crack kidogo kwenye kioo cha juu,haina tatizo lolote. Bei 150000sh Maongezi yapo!
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Salaam wadau..natafuta mtu anayejua kudesign profile za kampuni na kuprint vizuri.Kama yupo tuwasiliane tafadhali through 0689900000.Asantenu
0 Reactions
0 Replies
581 Views
Ni cotton nzito Ukubwa 8*8 Shuka 2 foronya 4 Bei elf 70,dar unaletewa ulipo mikoani tunatuma serious buyer njoo pm kwa maulizo.
0 Reactions
0 Replies
557 Views
Habari wana JF Kwa yeyote anayeuza mashine ya kusaga na kukoboa nafaka naomba awasiliane na mimi. Conditions ni kama zifuatazo:- (1) Iwe iliyotumika (Iwe inafanya kazi au haifanyi kazi). (2)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Plot for sale size metre 17.5 by 35 location Kawawa near Dar Moshi road contact us 0622068486/0658825141
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hello friends, hivi mnafaham kuwa mbwa ni mlinzi mwaminifu wa kweli na unapotumia mbwa mwenye mafunzo unakuwa umeongeza uhakika wa usalama wako Mara dufu kuliko kutumia Masai au binadam yeyote...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa mahitaji ya nyumba na viwanja Dodoma, tafadhali wasiliana nasi tutakuhudumia kwa bei nafuu. 0719550577 0752311476
0 Reactions
32 Replies
12K Views
Kwa mahitaji ya sneakers za mtumba size 40,39,38,37,36. Zinapatikana karibuni sana.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna kitu cha sub-woofer kinauzwa kwa bei ya chee.. Nimenunua mwezi uliopita kwa 180k, naiuza leo kwa 100k. Kwa atakayevutiwa tuwasiliane kwa 0715 193 810 tufanye biashara... Mzigo upo Mkuranga...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Karibu ujipatie belt za kupunguza tumbo.kwa bei nafuu.bei ni elfu 40.unaletewa ulipo.kwa mawasiliano piga 0712620078.
2 Reactions
2 Replies
3K Views
wadau yeyote mwenye bati ya rangi anitext kwa 0686958013 maeneo ya dar es salaam, na KIBAHA, nahitaji kuanzia PC 90
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom