Habari wana JF
Kwa yeyote anayeuza mashine ya kusaga na kukoboa nafaka naomba awasiliane na mimi. Conditions ni kama zifuatazo:-
(1) Iwe iliyotumika (Iwe inafanya kazi au haifanyi kazi).
(2)...
Hello friends, hivi mnafaham kuwa mbwa ni mlinzi mwaminifu wa kweli na unapotumia mbwa mwenye mafunzo unakuwa umeongeza uhakika wa usalama wako Mara dufu kuliko kutumia Masai au binadam yeyote...
Kuna kitu cha sub-woofer kinauzwa kwa bei ya chee..
Nimenunua mwezi uliopita kwa 180k, naiuza leo kwa 100k.
Kwa atakayevutiwa tuwasiliane kwa 0715 193 810 tufanye biashara...
Mzigo upo Mkuranga...
Nauza Toyota Vitz,ni yangu na haina shida yoyote.Imetemba kms 96,000 na haidaiwi road licence wala insurance...0714-796778 na WhatsApp ni 0628615685.Gari iko wazo,ukihitaji kuiona fika Tegeta...
Large vacant space to let near Muhimbili Hospital. Can be used as restaurant, pub, cafe or just normal shop. Rent is 3mil tshs NO goodwill required.
For more properties visit www.kitomai.com...
This spacious 3-bedroom, dining area, sitting room and kitchen. The apartment has 24/7 security, water, backup generator, elevators, swimming pool, gym and one car park
Price tshs 325mil.
For...
Wakuu amani iwe nanyi!
Nahitaji bati(za kuhezekea nyumba) zilizotumika kwa yeyote aliyenazo aniuzie ila zisiwe chakavu sanaa
Nataka kuzitumia kwa ajili ya kujenga uzio.
Napatikana Dodoma.
Karibu...
Wakuu, habari za mida
Kuna mashine hizi hapa ziko sokon
Bei yake ni 39,000 USD----24,000 USD na maelewano yapo Magari yapo ktk standard nzuri
piga simu
WhatsApp /piga 0622070789
Inauzwa HP Envy M6 core i5
Processor i5 - 2.60Ghz
Ram 8Gb
HDD 750Gb
Battery 2hrs
Screen size 17'
Used
Kioo kina wino kidogo upande wa kushoto ukinunua nakubadilishia kioo hapohapo kwa gharama...
Nyumba ya kisasa zaidi na mpya
Inapatikana maeneo ya kisasa Dodoma mjini... mita 250 kutoka dar es salaam road umeme na maji mita 10..ipo kwenye kiwanja chenye ukubwa wa mita 33/21.
Gari na...
Natafuta MTU mwenye uwezo wa kuandaa lebo za kuweka kwenye vikopo vya shampoo,lotion,mafuta ya mgando Nina maana lebo zenye grue anitafute tufanye biashara Na kwa wale wanafahamu zinakopatikana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.