Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Room inahitajika tazara au maeneo jiran iwe na maji,na iwe ndani ya geti.kwa gharama isiyozid 70000 nnyumba isiwe na wapangaji wengi
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari za leo ndugu wote, Naomba kuuliza wale wenye ujuzi na uzoefu wa visiwani zanzibar wanijulishe bei (average) za viwanja zilivyo huko zanzibar hususan katika maeneo kama Fuoni, Tunguu...
0 Reactions
13 Replies
9K Views
kuna shughuli zangu za mziki na kurekodi vitu vidogo.
0 Reactions
0 Replies
504 Views
OFA YA PASAKA KWA WAKULIMA. TUNATOA OFA MAALUMU KWA WAKULIMA AMBAO WANAHITAJI KUCHIMBIWA KISIMA CHA KARAVATI KWA BEI YA OFA. KILA MKULIMA ANAEHITAJI KISIMA HIKI HAKIKISHA UPITWI NA OFA HII ILI...
0 Reactions
5 Replies
997 Views
Simu ya line moja iko vizur kabsa aina tatizo kabsa Gb 32 Ram 3gb Camera 13megapixel Kwa tsh 400000 mazungumzo yapo ni made in korea
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Nauza kiwanja maeneo jiran na mwembe mdogo kigambon chenye ukubwa wa mita 40*35. Ni eneo zur karibu na barabara. Bei ni milion 5.2. Nitafute kwa namba 0713806766.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ram 3gb Hdd 250 Dual core Wifi Bluetooth Bettre 3hrs Vga port Window 7 Dvd rom Led display 370000 bei 0712191251 0712191251
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Tunauza na kutuma vifaa vya simu kama vile screen protector, charger, cover, housing, n.k kama uko mkoan na unahitaji tafadhali ni p.m Huduma hii kwa mikoa ya kusini pekee yaan lindi na Mtwara...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nyumba inauzwa ipo tabata baracuda ~Ina vyumba vitatu kimoja ni master ~Sebule ~Store ~Jiko Bei mil 75 Nb; Nyumba ni mpya
0 Reactions
53 Replies
8K Views
Ram 3gb Hdd 250 Processor 2.17 Haikai na chaji
0 Reactions
5 Replies
725 Views
HTC M7 = 290000/= HTC M8 (Hongkong) = 360000/= HTC M8 (U.S.A) = 350000/= HTC M9 = 470000/= HTC M9(ME) = 430000/= HTC A9 = 580000/= HTC 826 = 380000/= HTC 820 = 339000/= HTC 816 =...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Karibuni Sana, Tunauza Vifaranga na Kutotoresha Mayai Kuku wa Kienyeji na Chotara, Eneo ni Gongo la Mboto. Jiunge Nasi kupitia Kundi la whatssap au tupigie 0758880131 Utapata Mafunzo Kabla ya...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Natafta gari ndogo ambayo ulaji wa mafuta uwe mdogo iwe Carina au premio ofa yangu ml 4500, 000/=
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari, Twende Pamoja Mikumi National Parks (Kwenda 01/04/2017 na Kurudi 02/04/2017) kwa gharama ya Tshs. 80,000/= tu kwa Single na 140,000/= kwa couples. Gharama hii imejumuhisha gharama za...
1 Reactions
29 Replies
4K Views
Kama sikosei mwanzoni mwa January mwaka huu nilitoa tangazo hapa kuhusu mafunzo ya maarifa ya kazi ... sijaona mtu ametuma e-mail kwa ajili ya application. Sasa naweka mambo wazi hapa. ... Mafunzo...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Salaam wana JF Naomba kurudia kwa mara ya pili kwa wale ambao wako serious kibiashara. Kwa yeyote anayeuza Green House, ziwe zilizotumika lakini ziko hali nzuri au hata kama ni mpya, tafadhali...
0 Reactions
2 Replies
584 Views
Wakuu, Kama kichwa cha habari kinavo jieleza, nina shida na bettry ya iphone 5s mpya na bora ya kununua kwa ajili ya sim yangu kwa maduka ya Dar naweza pata wapi au delers wa apple kwa Dar...
0 Reactions
2 Replies
785 Views
je unahitaji kuscan document,picha au chochote kile(picha ya ukutani,sakafu)? basi nunua scanner hii ambayo inatumia bettry na inascan chochote na kuihifadhi kwenye memory card. utaweza...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…