Habari za leo ndugu wote,
Naomba kuuliza wale wenye ujuzi na uzoefu wa visiwani zanzibar wanijulishe bei (average) za viwanja zilivyo huko zanzibar hususan katika maeneo kama Fuoni, Tunguu...
OFA YA PASAKA KWA WAKULIMA.
TUNATOA OFA MAALUMU KWA WAKULIMA AMBAO WANAHITAJI KUCHIMBIWA KISIMA CHA KARAVATI KWA BEI YA OFA.
KILA MKULIMA ANAEHITAJI KISIMA HIKI HAKIKISHA UPITWI NA OFA HII ILI...
Nauza kiwanja maeneo jiran na mwembe mdogo kigambon chenye ukubwa wa mita 40*35. Ni eneo zur karibu na barabara. Bei ni milion 5.2.
Nitafute kwa namba 0713806766.
Tunauza na kutuma vifaa vya simu kama vile screen protector, charger, cover, housing, n.k kama uko mkoan na unahitaji tafadhali ni p.m
Huduma hii kwa mikoa ya kusini pekee yaan lindi na Mtwara...
Karibuni Sana,
Tunauza Vifaranga na Kutotoresha Mayai Kuku wa Kienyeji na Chotara,
Eneo ni Gongo la Mboto.
Jiunge Nasi kupitia
Kundi la whatssap au
tupigie 0758880131
Utapata Mafunzo Kabla ya...
Habari,
Twende Pamoja Mikumi National Parks (Kwenda 01/04/2017 na Kurudi 02/04/2017) kwa gharama ya Tshs. 80,000/= tu kwa Single na 140,000/= kwa couples. Gharama hii imejumuhisha gharama za...
Kama sikosei mwanzoni mwa January mwaka huu nilitoa tangazo hapa kuhusu mafunzo ya maarifa ya kazi ... sijaona mtu ametuma e-mail kwa ajili ya application.
Sasa naweka mambo wazi hapa. ...
Mafunzo...
Salaam wana JF
Naomba kurudia kwa mara ya pili kwa wale ambao wako serious kibiashara. Kwa yeyote anayeuza Green House, ziwe zilizotumika lakini ziko hali nzuri au hata kama ni mpya, tafadhali...
Wakuu,
Kama kichwa cha habari kinavo jieleza, nina shida na bettry ya iphone 5s mpya na bora ya kununua kwa ajili ya sim yangu kwa maduka ya Dar naweza pata wapi au delers wa apple kwa Dar...
je unahitaji kuscan document,picha au chochote kile(picha ya ukutani,sakafu)?
basi nunua scanner hii ambayo inatumia bettry na inascan chochote na kuihifadhi kwenye memory card.
utaweza...