Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ujenzi wake umefikia asilimia 75 (%). Lipo mashallah! Lina vyumba vinne vya kulala vyote vina vyoo na mabufu yake NA chumba kikubwa au masta chenyewe kina ile kitu inaitwa “walk in closet” yaani...
1 Reactions
50 Replies
10K Views
Habari waungwana,natafuta nyumba ya kununua ya familia iliyokamilika nifanye kuingia tu na isizidi m70.
1 Reactions
31 Replies
11K Views
Habar wanajamii Fm!!!Natafuta masoko ya chakula cha kuku.Am located in Mwanza..ingredients konokono+mifupa..600@kg!!
0 Reactions
0 Replies
708 Views
KARIBU KATIKA FURSA YA *HELPING HAND INTERNATIONAL (H2i)* [emoji117]soma ,elewa, uliza& chukua hatua[emoji124](kujiunga) [emoji338] +255756254314 (WhatsApp/Call)[emoji338] *UTANGULIZI* H2i...
0 Reactions
0 Replies
897 Views
nauza kiwanja changu kwa million mbili mbele ya kibada kigamboni ukubwa wa 23 kwa 27 number 0717096275
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Ipo Tanga mjini mtaa wa kwanjeka nyuma ya shule ya Tanga xul, inavyumba vi3, choo, jiko na milango miwili ya biashara.. Muuzaj ni mmiliki Bei ni mil 17.5 Kwa mawasiliano pga 0713 575797..
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tsh mil 5 kwa maelezo zaidi call 0688372777
1 Reactions
10 Replies
5K Views
makofuli hayaamini kabisa, walishawahi kuyafungua yangu wengine wanasema hao wezi walitumia gesi , Mara wana mafuta maalumu, sijui walitumia nini Wakuu naomba mwenye system ya ulinzi wa dukani 1...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
New or mint condition tufanye biashara...
0 Reactions
0 Replies
525 Views
Salaam wadau wa jukwaa hili. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo, linahitajika shamba kwa ajili ya kilimo cha mpunga maeneo ya Moshi au Manyara. Linawezakuwa linalokodishwa au linalouzwa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
iphone 6plus mpya inauzwa kwa bei nafuu tshs 950,0000 haijwai kutumika unaanza kuitumia ww kwa mawasiliano zaidi ni text whtaspp samahana kuna shida ya mtandao kidogo picha zinasumbua ku upload...
0 Reactions
1 Replies
607 Views
Eneo liko mikese-morogoro limetawaliwa na MAWE tupu yanayofaa kwa uzalishaji wa MAWE, kokoto na changalawe znazofaa kwa ujenzi wa majumba na barabara! Mawasiliano nichek 0713768959
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nauza desktofull kioo nchi 18. Ram 4gb hdd 500 ipo katika hali nzuri nilinunua kwaaajili kufanyia biashara ya stationery lakin eneo si rafiki.kwa biashara hii sasa na kubadilisha biashara niuze...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu wana jf naomba muongozo kwa anaejua soko la kambale na sato
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Sallam wana jamvi..ndugu zangu nina hitaji la kontena lenye urefu wa futi araboaini maeneo ya Dodoma mjini anijulishe offer yangu million 4 .. Kwa maelezo na nawasiliano anijulishe kwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
CCC LTD , Ni kampuni inajishulisha na uendelezaji Makazi , Upimaji na uuzaji wa Viwanja, #pia tunashughulika na ushauri wa biashara mbalimbali na utafutaji na uwezeshaji wa FURSA mbalimbali kama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Closed
Hii ni nyingine baada ya ile kuuzwa, Lenovo G40, ram 4gb, hdd 500GB, processor i3 imetumika ila sio sana na ipo katika hali nzuri kabisa. Bei 360,000 ukiwahi unapata zawadi ya mouse bure na bei...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
NI AINA YA HUAWEI G9...NI MPYA HAIJAWAHI TUMIKA... spec zake ni kama ifuatavyo--- Android-6.0 marshmallow Camera-13 megapix Screen yake-5.2" Battery capacity ni 3000mAh Ram-3gb Internal...
0 Reactions
1 Replies
910 Views
Kwa wauzaji wa nguo hasa singland au VEST aina ya CNT rangi iwe nyeupe zinahitajika size M. Nahitaji 12pcs. Niambie unapatikana wapi nakuja mwenyewe.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom