Land rover 109 Inauzwa.

Land rover 109 Inauzwa.

mzawahalisi

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2010
Posts
752
Reaction score
238
Land Rover 109 ipo sokoni ni nzima inatembea,bodi imenyooka na rangi inang'aa, tairi mpya general tyre. ipo Arusha anaye ihitaji atume sms Piga No 0682 359343.
 
Land Rover 109 ipo sokoni ni nzima inatembea,bodi imenyooka na rangi inang'aa, tairi mpya general tyre. ipo Arusha anaye ihitaji atume sms Piga No 0682 359343.

What's your price? Also bring some photos as well
 
kama unauhitaji wa hii kitu nitafute kwa ku sms hiyo no na utapata kuliona physically sio kwenye picha. Natumia simu inanisumbua sana kuaploaad picha. Bei maelewano, cunajua hili ni gari la zamani, bei iko chini sanaa.
 
Hunatofauti na abiria anayetaka kusafiri anachagua basi la kupanda lenye rangi mpya bodi, iliyonyooka na matairi mapya, badala ya kua na uhakika wa uzima wa injini ya basi na other inside parts.
 
Ipo nyingine Dar Ni Breakdown bei ni 3m tu anayehitaji ani PM
 
Ungeweka picha Mkuu, ili mtu ajue kama inalipa kutumia muda wake kuifatilia. Sio mtu akurupuke kisha akifika huko anajikuta anashika kichwa. Muda Mali ghalifu mheshimiwa.

kama unauhitaji wa hii kitu nitafute kwa ku sms hiyo no na utapata kuliona physically sio kwenye picha. Natumia simu inanisumbua sana kuaploaad picha. Bei maelewano, cunajua hili ni gari la zamani, bei iko chini sanaa.
 
Nina ihitaji sana tena sana.

Pickup au wagon?

Tuma picha ktk solutions@oric.co.tz

Mi naishi Dar kuja Arusha ni ngum, mpaka tufikie maelewano
 
Nina ihitaji sana tena sana.

Pickup au wagon?

Tuma picha ktk solutions@oric.co.tz

Mi naishi Dar kuja Arusha ni ngum, mpaka tufikie maelewano
Mkuu Arusha ukafanye nin Yangu Ipo Dar Pick Up Ni Break Down na unaweza toa Vyuma kama unamatumizi yako Binafsiipo fresh sana sio kama yale mabovu Bei ni m3 Haipungui...

Zingatio Road Licence Imeisha mwaka Huu
 
Mkuu Arusha ukafanye nin Yangu Ipo Dar Pick Up Ni Break Down na unaweza toa Vyuma kama unamatumizi yako Binafsiipo fresh sana sio kama yale mabovu Bei ni m3 Haipungui...

Zingatio Road Licence Imeisha mwaka Huu

Sawa mlaleo! Iko wapi ili niione? Nitumie picha
 
Bado unayo hiyo?
Mshikaji kitambo sana ilishakwenda but you can Try this No. Ulizie kama ipo au Connections 0655242287 The Guy Muombe Namba ya Paulo au Brother wake Paulo wapo pale Msimbazi near Gerezani kituo kipya cha Daladala na wendokasi wanaziba Pancha na Kucharge Battery huyo Bro ndio Alikuwa na hiyo Gari so Jaribu Namba hiyo au Uende hiyo Sehemu watakupa
 
Back
Top Bottom