Habari wadau linahitajika eneo ambalo naweza kuweka biashara ya petrol station kuanzia ukubwavya wa 50×50 kwenda juu maeneo yenye watu wengi
kama buguruni
Ubungo
Msasani...
Wakuu habari za jioni!
naomba msaada mwenye uelewa au ufahamu wa mashamba ya kukodi maeneo ya Mkuranga au kigamboni ambapo patafaa kulima Matikiti Maji, kuwe na mazingira ya maji kwa aajili ya...
Karibu ujipatie batiki nzuri zenye viwango hazipauki wala kuchuja tunakupa kitu cha uhakika,ukubwa ni mita 2 per piece na piece moja ni sh elfu 14
Jumla pia Tunauza karibuni sana
Napatikana dar...
Je unakipaji?,
Wewe ni dancer, Comedian, Mwanamziki chipukizi au mpenda burudani lakini huna mashabiki yaani fan base itakayokufanya uoneshe kipaji na kuwa maarufu.!
Basi ndo muda muafaka...
Kwanza i hope comrades wa JF mnakuoa raha ndani kipindi hiki cha sikukuu kabla ya kurudi kwenye majukumu yetu ya ujenzi familia zetu pamoja na taifa kwa ujumla! :-)
Kwa wale wenye gari hii...
Naitwa Barnabas Jacob Nyerembe. Natafuta mtu tunae weza kushirikiana katika shughuli za kilimo cha mazao mbali mbali.
Nina Shamba lenye ukubwa wa Ekari 10 lipo kandokando ya ziwa Victoria pia...
Habari za mishemishe wakuu.
Nauza TV sumsung inch 32 mpya tsh. 450,000.
Warrantee 1yrs
Lisiti zipo na ina mwezi mmoja tangu inunuliwe.
Nahamia mkoani baada ya kupangiwa kituo Kipya cha kazi ndo...
Wadau,
Nyumba inauzwa Kibaha Visiga ina hati imefunga mpaka lenta, kiwanja kikubwa unaweza jenga nyumba nyingine kubwa na uwanja ukabaki eneo ni 588sm bei ni shilingi 20 milion, bara bara mpaka...
Nauza net za kisasa, zenye muonekano amazing, pana na ndefu, high quality, unaweza kufunga kwa stayle tofauti tofauti, ziko aina tofauti tofauti, zimebaki chache, bei ni Tshs. 55,000 tu. Karibuni...
Moja kati ya vitu ambavyo vinzaweza vikakushanganza utakapotembelea mji wa Dar es salaam ni hii ya kutoa pesa iliununue pesa, Mfanyabiashara Eli amesema Dar es salaam apatupwi hata pesa mbovu...
Je uko china ama tanzania na unataka kusafirisha mizigo yako kibiashara javis tupo kwa ajili yako tuna safirisha mizigo ya wateja wetu toka china na tuna fanya manunuzi ya bidhaa pia fika ofisin...
Kwa anayehitaji huduma ya kupimiwa kiwanja, kununua kiwanja kilichopimwa ( Fukayosi bagamoyo na Kerege Bagamoyo plus Kimbiji Kigamboni), huduma ya kufanyiwa renovation au kujenga nyumba,frem nk...
Kama kichwa kinavojieleza nipo ubungo morden nnaihitaji simu aina yoyote iwe na hali nzuri coz kwa simu huaga sidanganywi so jishaurishe kwanza. Inahitajika kwa uharaka; nnnaofa pesa taslim...
Hope mpo ok wadau:Mdogo wangu anatarajia kuja kuripoti kazini hivi punde Jijini Dodoma,Naomba uzoefu wa Gharama za Chumba/vyumba na maeneo poa kwa kuanzia Maisha.
Wadau nimetingwa sana . Nataka niuze simu (ni yangu mwenyewe) sumsung galaxy grand prime+ ni mpya bado ina miezi miwili tangu itoke dukani. Shida yangu nipate 250,000 tu.
Samahanini , ni Samsung...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.