Nahitaji Toyota Starlet (SOLEIL 4DOORS)!!!

Nahitaji Toyota Starlet (SOLEIL 4DOORS)!!!

stymo

Senior Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
118
Reaction score
15
Kwanza i hope comrades wa JF mnakuoa raha ndani kipindi hiki cha sikukuu kabla ya kurudi kwenye majukumu yetu ya ujenzi familia zetu pamoja na taifa kwa ujumla! 🙂

Kwa wale wenye gari hii, Toyota Starlet (SOLEIL 4DOORS), au wanamjua aneyrweza niuzia itakuwa msaada sana kwangu. Nimefanya research bei yake pamoja na kuileta toka kwa wajapan kule, lakini, kwa mimi kijana ambaye nataka kununua gari langu la kwanza na ndo jwanza naanza kujitegemea imekuwa challenge kidogo gharama zake kuzimudu. Hivyo naitaji used n cheap kutoka hapa hapa nyumbani.

Mwenye deal cheap na starlet iliyo katika hali nzuri let me know, kwa comment hapa au kwa DM. Au taja ofa na contacts nami nitakutafuta!
 
Bado bei za juuuuuuuu!!!!!!!
 
ipo moja ya jamaa yangu ina hali nzuri sana , mafuta inanusa muzee . ni pm nikupe namba yake maana anataka kuagiza gari nyingine .
 
bucho nitumia comrade
 
Last edited by a moderator:
Asprin kama unakapenda sana hakika itakuwa ngumu, kule marekani kuna mzungu yupo in relationship na gari lake. Analitreat kama mke vile, sidhani kama kuna pesa inaweza kulinunua, af gari yenyewe bito.
 
Last edited by a moderator:
Kwanza i hope comrades wa JF mnakuoa raha ndani kipindi hiki cha sikukuu kabla ya kurudi kwenye majukumu yetu ya ujenzi familia zetu pamoja na taifa kwa ujumla! 🙂

Kwa wale wenye gari hii, Toyota Starlet (SOLEIL 4DOORS), au wanamjua aneyrweza niuzia itakuwa msaada sana kwangu. Nimefanya research bei yake pamoja na kuileta toka kwa wajapan kule, lakini, kwa mimi kijana ambaye nataka kununua gari langu la kwanza na ndo jwanza naanza kujitegemea imekuwa challenge kidogo gharama zake kuzimudu. Hivyo naitaji used n cheap kutoka hapa hapa nyumbani.

Mwenye deal cheap na starlet iliyo katika hali nzuri let me know, kwa comment hapa au kwa DM. Au taja ofa na contacts nami nitakutafuta!
Huwezi kuipata ya fourdoors na haipo duniani
 
kana siri gani hako mbona kanaonekana kama ka kizamani sanaa ukilinganisha na reflex?
 
Back
Top Bottom