Habari rafiki, kijana,ndugu,mfanyabiashara, wahitimu wa vyuo na watanzania wote kwa ujumla.
1.Je ungependa kuungana nami katika huduma mpya ya kusafisha sink za toilet, za kunawia na vigae kwa...
Ukinunua kiwanja kupitia kampuni yetu ,tutakupa Mkopo wa tofali 1000 za kuanzia ujenzi, tunaweza kukupa Mkopo kwa awamu hadi unamaliza nyumba, ( Mkopo wa vifaa sio pesa)
* bei kuanzia Mil 5.8...
Afro Animations inawatangazieni offer hii ya punguzo la bei kwa wanaotaka kutengeneza Logo za kampuni, mashirika, vyama, na logo binafsi. Logo hizi zitatengenezwa jinsi utakavyo taka (2D/3D)...
Habari wakuu wangu, naomba mwenye uzoefu wa bei za simu natumani humu jf wajanja ni wengi mno mimi nahitaji kuagiza pesa nikanunuliwe simu aina ya huawei p9 nlikua naomba nifahamu japo bei ili...
Kampuni ya cccltd inawatangazia watanzania wote wenye kutaka kumiliki Makazi yao na kuachana na adha za upangaji , tumewaletea mpango rahisi sana , NUNUA KIWANJA KWETU CASH, Tutakukopesha tofali...
Habari?
Simu ipo sokoni inauzwa kwa Tshs. 270,000/=.
Simu haina scratches zozote na ipo complete ikiwa na vifaa vyake vyote kama vile ear phone na charger.
Simu ipo Dar na kwa anayehitaji...
HK ADVENTURES & TOURS imeandaa safari ya kwenda kuitembelea hifadhi ya MIKUMI tarehe 15/04/2017 kwa gharama ya elfu 47,000 Tsh. Ambayo itahusisha usafiri,tozo ya hifadhi na vinywaji.
Kwa Maelezo...
Habari wakuu,
kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ninauza kiwanja changu kilichopo bagamoyo, eneo la Nzole kitalu A, kiwanja kina ukubwa wa mita za mraba 846. Kipo mita 300 kutoka barabara kuu...
USIPITWE NA FURSA ILIYOPO KATIKA PESA ZA KIDIJITALI BADO SIKU 5
Dunia inakimbia kwa mwendo kasi wa ajabu, sasa inahama kutoka matumizi ya pesa za kushikika (physical) kwenda fedha ya kidigitali...
Kwa mahitaji ya kufungiwa gps tracking devices kwa ajili ya usalama wa gari yako na taarifa muhimu unazo paswa kufahamu kuhusu gari yako VIAN group company tuko kwa ajili yako tunapatikana...
Salam wadau,
Kama mada inavyosema, nahitaji meeting table yenye uwezo wa kubeba viti visivyopungua 8.
Nipo Dar Es Salaam.
Mwenye nayo tuwasiliane tafadhali.
Asanteni.
kwa wale wanaohitaji
nyumba/office /godown ya kununua au kuuza au kupangisha
shamba au kiwanja kuuza au kununua dsm
maeneo ya posta,kigamboni,mikocheni,mbezi beach, kawe ,tegeta,ununio,bahari...
Tangazo maalumu kwa watu maalumu.
Wale wote mnaohitaji huduma ya kuchimbiwa kisima huu ni wakati wenu wa kupata huduma hii kwa bei nafuu na huduma bora.
Visima vyetu vya karavati ni bora kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.