Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari yenu wana jamvi, Nahitaji printer ya black and white only ambayo haina matumizi makubwa ya wino, naomba kwa wenye uzoefu tuwasiliane. Asanteni sana
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Karibu upate mfumo bora wa ujenzi kutoka kwa kampuni ya ONE2ONE FOCUS LIMITED yenye watalaam waliobobea katika ujenzi, tutakujengea nyumba yenye ubora na uimara maradufu kwa gharama nafuu inayo...
0 Reactions
0 Replies
676 Views
Karibu upate mfumo bora wa ujenzi kutoka kwa kampuni ya ONE2ONE FOCUS LIMITED yenye watalaam waliobobea katika ujenzi, tutakujengea nyumba yenye ubora na uimara maradufu kwa gharama nafuu inayo...
0 Reactions
0 Replies
713 Views
Natamani kujua sababu ya Leo watu kuweka apples Katika profile picture zao sanasana whatsapp Sababu Haswaa ni Ipi kama unajua real reason please nisaidie
0 Reactions
7 Replies
751 Views
Bei isizidi laki na 20 anicheki inbox
0 Reactions
0 Replies
559 Views
Nauza mbao za kawaida 2×4 na 2×2 kwa bei ya jumla bei ni 2×2 @3000 na 2×4@6000 kwa wingi wowote mteja anao hitaji maongezi yapo kutokana na wingi wa mzigo mawasiliano 0715426668
1 Reactions
0 Replies
664 Views
Habari wanajamvi ninapenda kuwa tangazia kuwa kwa mtu yeyote mwenye shida ya kununua mbwa aina tajwa hapo juu ni mbwa wa aina yake na pia n mbwa pekee ambao unaweza kuwa train wakacope na...
3 Reactions
8 Replies
4K Views
[1/27, 10:32 PM] Dr.G: KARIBU KATIKA FURSA YA *HELPING HAND INTERNATIONAL (H2i)* _TIN 127-248-435_ _Brela -128802_ [emoji117]soma ,elewa, uliza& chukua hatua[emoji124](kujiunga) Whatsap call...
0 Reactions
38 Replies
5K Views
kwa sh 150000 napata simu gan nzuri!
0 Reactions
1 Replies
516 Views
Habari wadau linahitajika eneo ambalo naweza kuweka biashara ya petrol station kuanzia ukubwavya wa 50×50 kwenda juu maeneo yenye watu wengi kama buguruni Ubungo Msasani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu habari za jioni! naomba msaada mwenye uelewa au ufahamu wa mashamba ya kukodi maeneo ya Mkuranga au kigamboni ambapo patafaa kulima Matikiti Maji, kuwe na mazingira ya maji kwa aajili ya...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Karibu ujipatie batiki nzuri zenye viwango hazipauki wala kuchuja tunakupa kitu cha uhakika,ukubwa ni mita 2 per piece na piece moja ni sh elfu 14 Jumla pia Tunauza karibuni sana Napatikana dar...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Je unakipaji?, Wewe ni dancer, Comedian, Mwanamziki chipukizi au mpenda burudani lakini huna mashabiki yaani fan base itakayokufanya uoneshe kipaji na kuwa maarufu.! Basi ndo muda muafaka...
1 Reactions
0 Replies
605 Views
Visima kwa bei nafuu 'tunapatikana dar es salaam kwa melezo zaidi namba ya simu 0656535266. ..au blog yetu Saidyhasheem.blogspot.com
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habar zenu mimi ni hancy naomba msaada kama kunamtu anauelewa wa kupata domain kwaajili ya blog lakini iwe domain ya bure
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwanza i hope comrades wa JF mnakuoa raha ndani kipindi hiki cha sikukuu kabla ya kurudi kwenye majukumu yetu ya ujenzi familia zetu pamoja na taifa kwa ujumla! :-) Kwa wale wenye gari hii...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Naitwa Barnabas Jacob Nyerembe. Natafuta mtu tunae weza kushirikiana katika shughuli za kilimo cha mazao mbali mbali. Nina Shamba lenye ukubwa wa Ekari 10 lipo kandokando ya ziwa Victoria pia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za mishemishe wakuu. Nauza TV sumsung inch 32 mpya tsh. 450,000. Warrantee 1yrs Lisiti zipo na ina mwezi mmoja tangu inunuliwe. Nahamia mkoani baada ya kupangiwa kituo Kipya cha kazi ndo...
0 Reactions
5 Replies
975 Views
Wadau, Nyumba inauzwa Kibaha Visiga ina hati imefunga mpaka lenta, kiwanja kikubwa unaweza jenga nyumba nyingine kubwa na uwanja ukabaki eneo ni 588sm bei ni shilingi 20 milion, bara bara mpaka...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Nauza net za kisasa, zenye muonekano amazing, pana na ndefu, high quality, unaweza kufunga kwa stayle tofauti tofauti, ziko aina tofauti tofauti, zimebaki chache, bei ni Tshs. 55,000 tu. Karibuni...
0 Reactions
5 Replies
9K Views
Back
Top Bottom