Habarini marafiki
Ni fursa pekee na wakati muafaka wa wewe kutaka kitu bora zaidi
hivyo usisisite na kutangatanga ama kuhangaika huko na kule kutafuta
ni wapi shughuli yangu naweza kuifanya, na...
Eng Octavian Lasway
Irrigation and water resources engineer
0763347985/0673000103
Green agriculture company
hii ni kampun inahusika na masualua ya umwagiliaji na agronomy kwa huduma mbali mbali...
Nahitaji trela la uturuki ambalo halijapata ajali tairi Supa singo na lisiwe limechoka sana. Malipo 100% baada ya makubaliano. Kwa yeyote ambaye yupo siriaz tuwasiliane PM.
Jitapitie simu bomba samsung note 4 kwa bei ya 500,000 zina storage ya 32gb
Pia tuna simu zingine pia kuanzia lg,iphone na sony mpya na used pia kwa nafuu
Piga no 0713239001 au whatsapp me online...
Habari zenu Wadau?
Kwa wajanja mtakuwa mnajua kile chombo kinaitwa Scooter, yaani nasimama tu juu na kushika usukani na kina matairi mawili madogo sana. Kwa hapa Dar vinauzwa wapi? na ni Tsh...
Wakuu
Nimevutiwa sana na aina ya kizibao anachovaa mchungaji gwajima!
Fundi gani mtaalamu hapa jiji anaweza nitolea kopy ya kizibao kama cha bishop gwajima
Vipi gharama yake, itapendeza zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.