Ni wapi wanakoboa mahindi kuwa unga wa sembe na kufunga (packaging)?

Shebbydo

JF-Expert Member
Feb 12, 2015
1,174
1,937
Wakuu habari,

Kama heading inavyojieleza.

Ninaomba kujuzwa na aliye na ufahaumu wa taratibu za kukoboa mahindi kuwa sembe pamoja na kuufungasha. Naomba kujua ni wapi inafanyika kazi hiyo ikibidi na gharama zake kwa hapa Dar. Je, pia kuna ulazima wa kuziona mamlaka kama vile TFDA na TBS?

Natanguliza shukrani zangu.
 
Back
Top Bottom