Make : Toyota
Model : Altezza
Mileage : 91,729km
Engine size: 2,000cc
Gasoline : Petrol
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Manual
M/Year : 2002
Doors : 4
Seats : 5...
Wana jf
Mimi naishi Moshi mkoa wa kilimamjaro nahitaji chumba kimoja chenye choo ndani ila kisiwe uswahilini kiwe maeneo ya karibu na chuo cha ushirika
Watanzania wenzangu,kumiliki biashara/kampuni
(kwa maana ya limited company) na kujiajiri
ndiyo siri ya mafanikio kwa Tanzania ya
leo.Chukua hatua na ufungue kampuni yako na
ujiiunue kiuchumi...
Salaam alaykum wana jukwaa.. natafuta muuzaji wa lotion za bath and wash na body splashes zake pamoja na splashes za victoria secret kwa bei ya jumla.. kama yupo ani pm plz.. shukran
Habari za wakati huu wapendwa , binafsi nimeyumba kiuchumi hivyo nimeamua kuuza angalau simu yangu ili nipate pesa niizungushe nipate kiasi kikubwa zaidi , kama unahiitaji ni pm .
NOKIA X2-02 ni...
Habari zenu wadau. Natafuta jiko la gesi lenye mtungi mdogo wa gesi(used) kwa tsh25000 iv. Fanya biashara popote ulipo nitajua jinsi gani mpango ufanyike.
TANGAZO
Mkuu wa chuo cha utalii (Njombe Institute of Tourism and Hotel Management) anawatangazia nafasi za Kazi katika fani zifuatazo:-
1. Teachers (tourism & tour guide)
2. Market Officers
3...
*HABARI NJEMA*
VKP (Real Estate) Company (yenye usajili no. *299964*) iliopo mbezi beach tang bovu ina huduma zifuatazo;
kukopesha mashamba na viwanja kwa bei nafuu bila riba wala dhamana...
Nauza shamba la heka tatu Kigamboni, Mwasonga karibu na kiwanda cha cement cha nyati, linafaa kwa kilimo na makazi, kuna kisima pia. Heka moja ni milioni 5.Karibuni.
Nauza kiwanja Bagamoyo Kiromo si mbali na Barabara kuu,,ukumbwa 20*20,,bei ni milion 4.5,,kiwanja ni changu situmii dalali,,piga simu namba 0712001067,,nikupe maelezo,,karibu sana..
Habari wana jukwaa,
Natumai wote mu wazima wa afya na mnaendelea na majukumu yenu.
Nilikua nataka kuuliza ni wapi nitapata jewelleries za jumla kama hereni, mikufu, bangili za english gold...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.