Niko la umeme used toka denmark..juu Ina kioo(ceramic)
Iko na oven pamoja....
Bei ya kuuza ni 370,000/
Haya makini ni imaraaa sana
Kwa mawasiliano piga simu 0715591141 dar
OvA
JITA VTC, inakaribisha watanzania wote wenye nia ya kujipatia ujuzi ili waweze kujiajiri na kuajiriwa.
kozi zitolewazo:
> Ususi na urembo (mambo yote ya salon za kike) WIKI 12
> Ufundi simu...
Ni kweli uhamisho wa watumishi wa umma umefutwa hapa nchini tz?
tangu rais aingie madarakan nimeona stahiki ya kuhama inapuuzwa ilihali watu wanamatatizo ya kiafya nk.
Natafuta pilipili mtama (black pepper).
Quantity = 500 KGS, hii Ñî biashara endelevu. Nitahitaji tena 5,000 KGS baada ya siku 30.
Tuwasiliane 0655308308.
Sub woofer ni mpya na zimetoka china nauza bei ya jumla na reja reja
Ukichukua kuanzia tano nakuzia bei
Ya reja reja,sub woofer zipo models mbali mbali na zenye uwezo tofauti zote zina fm radio...
Wakuu nafikiri kufanya biashara ya kununua nguo hasa za kiume jeans,shirt na kupeleka mkoani.Nimetembelea kariakoo wauzaji wengi wanapenda faida kubwa naomba kujua kwenye uzoefu wapi naweza pata...
Kwema wakuu!?always jf has been my second home..Leo tumeamka asubuhi na surprise ya Dada, ameamka anaaga unataka kutimka kurudi kwao na anasema mwisho j5,wakuu Mimi nna mtoto mchanga nimepambana...
+255 657 685 268 WhatsApp!
Pata ramani za nyumba za kisasa za kuishi familia sehemu nzuri na salama kwa afya, uhuru na furaha!
1 chumba master
2 vyumba vya kawaida
Sebure,
Dining, jiko na...
+255 657 685 268 WhatsApp!
Pata ramani za nyumba za kisasa za kuishi familia sehemu nzuri na salama kwa afya, uhuru na furaha!
1 chumba master
2 vyumba vya kawaida
Sebure,
Dining, jiko na...
Nauza mashine mpya inang'aa ya vinywaji baridi aina ya Te Li Da.
Ina mitungi miwili ya lita 18 kila mtungi (jumla lita 36).
Imenunuliwa mpya Kariakoo mwezi wa 7 kwa milioni 1, na imefanya kazi...
Jishindie Tsh 700,000/= ya kutumia katika Google cloud Platform Bure! kwa mwaka mzima
Unaweza kulitumia Salio lako kwa:
Kuhost Blogs
Wordpress
Joomla
Drupal
etc
Ku deploy Virtual Machines...
Wadau,
Tafadhali naomba kwa yeyote mwenye mawasiliano yanayopatikana ya kiwanda cha mufindi paper mills aweze kunisaidia. Ikiwa ni namba za moja kwa moja kiwandani au za mfanyakazi yeyote wa pale...
The CISA (Certified Information Systems Auditor) Review Classes is scheduled to commence on January 19, 2015 and it will be conducted in Dar Es Salaam City Center Raha Tower Building 2nd Floor...
ORIGINAL C5 PRO
[emoji336] 5.2" 1080*1920 PIXELS
[emoji328]16MP 1080p mega Camera
16MP 1080p Mega Selfie Camera
[emoji123]4GB snapdragon RAM
[emoji556] GSM/HSPA/LTE Networks
[emoji186]DUAL SIM...
*INVETER* *INAUZWA*
Ni inveter ya kisasa kabisa. Ni ya Watt 300.
KAZI YA INVETER ni kubadili mkondo wa umeme wa DC ( umeme wa betri ya gari au ya solar ambazo zina volt 12 ) na kuwa katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.