aminiusiamini
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 3,578
- 2,219
Kama kichwa kinavyosema,natafuta nyumba.
Sitaki madali. Nataka mwenye nyumba tu awasiliane na mimi.
Maeneo: Mbezi,'Mikocheni
Tozo:Laki tano ndio bajeti yetu,itategemea na eneo husika.
Nyumba: 2-3 bedrooms yenye master
iwe inajitegemea yenyewe.
nategemea kuhamia November mwaka huu.
wasilina nami.
Sitaki madali. Nataka mwenye nyumba tu awasiliane na mimi.
Maeneo: Mbezi,'Mikocheni
Tozo:Laki tano ndio bajeti yetu,itategemea na eneo husika.
Nyumba: 2-3 bedrooms yenye master
iwe inajitegemea yenyewe.
nategemea kuhamia November mwaka huu.
wasilina nami.