Natafuta nyumba ya kupanga

aminiusiamini

JF-Expert Member
Aug 25, 2011
3,578
2,219
Kama kichwa kinavyosema,natafuta nyumba.

Sitaki madali. Nataka mwenye nyumba tu awasiliane na mimi.
Maeneo: Mbezi,'Mikocheni
Tozo:Laki tano ndio bajeti yetu,itategemea na eneo husika.
Nyumba: 2-3 bedrooms yenye master
iwe inajitegemea yenyewe.

nategemea kuhamia November mwaka huu.

wasilina nami.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom