NatAfuta Apartment 350,000 - 400,000

NatAfuta Apartment 350,000 - 400,000

dlazari

Member
Joined
Sep 20, 2012
Posts
74
Reaction score
30
Wadau natafuta Nyumba ya kupanga kama apartment. Iwe na Room 2 moja iwe ni Master na iwe ndani ya Fens, maji ya Uhakika. Contact me : 0714880007

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Samahanini kidogo, zile apartment za jengo ambalo liko karibu na Hospitali ya Ocean Road bei zake ziko vipi?
 
Wadau natafuta Nyumba ya kupanga kama apartment. Iwe na Room 2 moja iwe ni Master na iwe ndani ya Fens, maji ya Uhakika. Contact me : 0714880007

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Mkuu umepata. mimi ninayo ina vyumba viwili including master, choo cha public, stoo, siting room kubwa, dining na ina fensi na bustani nzuri, pia maji na umeme ni uhakika.
Kodi ni Tsh. 350,000/- kwa mwezi. nyumba ipo Bukoba mjini.
 
Wadau nimewaelewa.. Nahitaji Kinondoni au Ilala. Ila iwe nyumba ya wastan, mazungumzo yapo.

Ideal nahtaji nyumba nnayoweza kuishi na familia ndogo, ila yenye security nzuri.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mkuu umepata. mimi ninayo ina vyumba viwili including master, choo cha public, stoo, siting room kubwa, dining na ina fensi na bustani nzuri, pia maji na umeme ni uhakika.
Kodi ni Tsh. 350,000/- kwa mwezi. nyumba ipo Bukoba mjini.
sehemu gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom